‘Ifumuliwe’
*Wadau wadai sekta ya uvuvi nchini imeoza *Wasema kuna mtandao wa mapapa unaofadhili uvuvi haramu *Wamwomba Waziri Mashimba Ndaki kuifumua sekta nzima *Mwenyewe atangaza vita, operesheni maalumu yaanza Dar es Salaam Na Alex Kazenga Wadau wa uvuvi nchini wameiomba serikali kuuvunja mtandao wa uvuvi haramu kwa kuifanyia mabadiliko makubwa sekta ya uvuvi. Hayo yamekuja ikiwa…