JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Mabasi yasiyokata tiketi kwa mtandao kuanza kuzuiliwa kesho

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Morogoro MAMLAKA ya udhibiti usafiri ardhini( LATRA)imesema kuwa kuanzia Septemba mosi 2022 mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewakatia abiria wake tiketi mtandao hayataruhusiwa kuendelea na safari yake ikiwa ni pamoja na kutozwa faini ya shilingi 250000 kwa…

ACT-Wazalendo yaishauri Serikali kuhusu bima ya afya ya Taifa

Chama cha Act Wazalendo kimeiomba serikali, kuhakikisha kila Mtanzania anakua kwenye mfumo wa hifadhi ya jamii ili kuwawezesha Watanzania wote kupata bima ya afya ya Taifa. Pia imeishauri serikali kupitia wizara ya fedha kuhakikisha mikopo yote inayodaiwa kupitia mashirika ya…

Urusi yalipiza kisasi kwa kuua wanajeshi wa Ukraine

Ukraine imedai kushambulia na kuharibu madaraja na maghala ya silaha pamoja na kuviharibu kabisa vituo vya kuongoza shughuli za kijeshi katika eneo lililokuwa likidhibitiwa na Urusi la Kusini mwa Ukraine. Urusi nayo imesema imelipiza shambulizi hilo la kuuwa wanajeshi kadhaa….

RC Makalla atoa siku 30 kwa wakazi wa Chasimba, Chatembo kulipa fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ametoa mwezi mmoja kwa wavamizi wa ardhi ya Kiwanda Cha Wazo kuhakikisha wanapokea ankara na kuanza malipo ya fidia kwa mujibu wa makubaliano yaliyokuwa yamewekwa awali. RC…

Waliohesabiwa wafikia asilimia 99.93

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema kuwa asilimia 99.9 ya watanzania wamehesabiwa katika sensa ya watu na makazi iliyoanza Agosti 23,mwaka huu. Hayo yameelezwa leo Agosti 31,2022 na Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt Albina Chuwa…

Serikali kutoa mikopo kwa wavuvi na wakuzaji viumbe maji

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema kuwa serikali imeandaa mpango wa kuwawezesha wavuvi na wakuzaji viumbe maji kwa kuwapatia mitaji ili waweze kuboresha shughuli zao Hayo ameyasea leo Agosti 30,2022 wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa utekelezaji…