JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2022

Ndoa kuvunjika si sababu ya kukosa mgawo wa mali

NA BASHIR YAKUB Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ikiwa mmoja wa wanandoa aliyesababisha ndoa kuvunjika kama anastahili mgawo wa mali. Mfano, mwanamke katika ndoa anaanzisha chokochoko makusudi ili ndoa ivunjike apate mgawo wa mali ili aendelee na maisha yake.  Au mwanamume…

Ufaulu Hisabati bado ni tatizo

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Mchakato wa utekelezaji wa sera ya Tanzania ya viwanda unapaswa kuanzia shuleni na vyuoni kwa kuwaandaa wahitimu katika ngazi mbalimbali za elimu. Ni lazima kutekeleza sera hiyo kwa vitendo baada ya  mafunzo na…

Mkakati wa siri Freemasons kuitawala dunia – (4)

DAR ES SALAAM  Na Mwalimu Paulo Mapunda Hapo zamani Mungu alikwisha kufunua kupitia ndoto ya Nebukadreza, Mfalme wa Babeli (The King of the Ancient Mesopotamia) iliyotafsiriwa na Daniel, Nabii (Daniel 2:44, 45) kwamba utawala wa Mungu ndio utakaosimama mwisho baada…

Ngorongoro, Loliondo sasa hakuna namna

NGORONGORO NA MWANDISHI WETU Kutokana na hali mbaya ilivyo katika Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) na Pori Tengefu la Loliondo (LGCA), serikali haina namna nyingine isipokuwa kuchukua uamuzi mgumu wa kuyanusuru maeneo hayo.  Ndani ya wiki moja,…

Utata zaidi vijana watano kupotea

*Sasa imetimia siku 58 tangu watoweke *Wazazi wakanusha watoto wao kuuza dawa za kulevya *Polisi yasema inaendelea na uchunguzi DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Tukio la vijana watano kutoweka na kutojulikana walipo hadi sasa unaweza kusema ni kama maigizo…

Rais Samia hongera, maliza la Mbowe tugange yajayo

Na Deodatus Balile, Zanzibar Leo naandika makala hii nikiwa hapa eneo la Mlandege, Zanzibar. Nimemaliza mjadala wa kuelekea mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mjadala huu ulihusu “Maendeleo katika Sekta ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.”…