JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Kamanda Mack awataka waandishi wa habari wasiwe wanyonge

Na Helena Magabe, JamhuriMedia, Tarime Kamanda wa Jeshi la Polisi Tarime/Rorya ACP Mack Njera amewata waamdishi wa habari wasiwe wanyonge katika kutekeleza majukumu yao Amesema hayo kwenye mdahalo baina ya waandishi wa habari na Jeshi la Polisi juu ya ulinzi…

NBAA yakabidhi msaada wa hundi mil.15/- kusaidia wagonjwa wa saratani Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili imepokea msaada wa hundi yenye thamani TZS. Mil 15 kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kwa lengo la kuwasaidia watoto wanaogua Saratani wanaopatiwa…

Mwanafunzi HKMU apata udaktari na miaka 21

· Ni Ahlam Azam Mohamed avunja rekodi kuwa daktari mdogo zaidi · Madaktari 138 kutunukiwa Shahada Jumamosi Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia MWANAFUNZI wa udaktari, Ahlam Azam Mohamed, ameweka rekodi ya kuwa mwanafunzi mdogo kuliko wote kuwahi kutokea nchini kuhitimu Shahada…

Fedha za ndani ziwe tegemeo katika mapambano dhidi ya UKIMWI – Dkt. Biteko

📌Asema Serikali inaendelea na juhudi za kutokomeza UKIMWI Nchini Na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Morogoro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na Tume ya…

50 wafanyiwa upasuaji Muhimbili kuondoa mtoto wa jicho kupitia tundu dogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili imefanya upasuaji wa kuondoa mtoto wa jicho kupitia njia ya kisasa ya matundu madogo (Phacoemulsification) ambapo katika hospitali za umma nchini inakua ya kwanza kufanya upasuaji wa ina hii. Mkurugenzi wa Huduma…

Serikali yagawa vishikwambi kwa madiwani Biharamulo

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Biharamulo KATIKA kuhakikisha taasisi za Umma nchini zinakwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia duniani kwa lengo la kurahisisha na kuboresha kazi,halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera imenunua vishikwambi 38 kwaajili ya kuepuka gharama za kutumia…