JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2024

Mchengerwa : Imarisheni ulinzi wa vifaa vipya vya TEHAMA shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha wanaimarisha ulinzi na kufikisha kwenye vituo teule vifaa vya TEHAMA vilivyogawiwa kwa vituo zaidi ya…

Usambazaji dawa kwa kutumia ndege zisizokuwa na rubaini kufanyiwa majaribio

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Serikali imekamilisha kuingiza vituo vyote kwenye mfumo wa kuhifadhi taarifa zote za vituo kuanzia ngazi ya Zahanati hadi Taifa ili kuufanyia majaribio na pia kutazama gharama za…

Dk Mwinyi akutana na sekretarieti za CCM Mikoa na Wilaya Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na sekretarieti ya kamati maalum, sekretarieti za Mikoa na Wilaya CCM Zanzibar katika kikao chake cha kwanza…

Rais Samia kumjengea nyumba mtoto Alhaji

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ikiwa ni siku moja tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda kupokea changamoto ya kijana Alhaji Yahya Abdallah ambaye anafanya biashara ya kuuza ndizi ili kumsaidia mama…

Waziri Jafo: Biashara ya Kaboni kuiingizia pato la taifa trilioni 2.4

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema Serikali inatarajia kupata wastani wa shilingi trilioni 2.4 kutokana na biashara ya kaboni ambazo zitachangia kwa kiasi kikubwa kwenye pato…

TAKUKURU Temeke yasimamisha ujenzi wa kituo cha mafuta

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Temeke imesimamisha ujenzi wa kituo cha mafuta uliokuwa unaendelea katika kiwanja namba P.18435 eneo la Mbagala Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam….