JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: May 2024

Ostadh adaiwa kulawiti watoto 15, Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Mafia Mkuu wa Wilaya ya Mafia, mkoani Pwani, Aziza Mangosongo , amethibitisha kukamatwa kwa Ostadh wa madrasa anaedaiwa kulawiti watoto zaidi ya kumi ambapo pia zipo kesi nyingine zinaendelea kuchunguzwa. Aidha amesema, licha ya serikali kupambana kupiga…

Dk Biteko azindua kituo cha kupoza umeme Ifakara

๐Ÿ“Œ Kuimarisha upatikanaji umeme Kilombero, Ulanga na Malinyi ๐Ÿ“Œ Kuchochea viwanda vya uongezaji thamani Mazao, Madini ๐Ÿ“Œ Asema Serikali inachukulia kwa uzito mkubwa suala la upatikanaji wa Nishati ๐Ÿ“Œ Asisitiza Umeme si anasa, ni jambo la lazima ๐Ÿ“Œ Aishukuru EU…

Mtuhumiwa wa Dawa za kulevya na Mauaji Arusha mbaroni

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema mei 29, 2024 muda wa saa 08:22 mchana huko katika maeneo ya Elerai Jijini Arusha walifanikiwa kumkamata Peter Mwacha (18) dereva bajaji na mkazi wa Sombetini Jijini…

Bunge lapitisha bajeti Wizara ya Ujenzi kwa asilimia 100

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kwa kauli moja Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya ujenzi ya Shilingi trilioni 1.77 kwa asilimia 100 ambayo inakwenda kutekeleza vipaumbele tisa kwenye miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara, madaraja, vivuko, mizani na ukamilishaji viwanja…