Year: 2024
Prof. Janabi azigeukia Simba, Yanga kupima afya za wachezaji
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospita ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amezigeukia Yanga, Simba, Azam FC na Coastal Union, kuzingatia zaidi vipimo makini kwa wachezaji wapya watakaowasajili kwa msimu wa 2024/25. Kauli hiyo ameitoa leo Juni 10, 2024, wakati akizungumza…
Ajali ya basi yaua watatu
Watu watatu wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani eneo la Mogitu wilayani Hanang mkoani Manyara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, George Katabazi, amesema ajali ya kwanza ilihusisha magari mawili ya mizigo, hali iliyofanya barabara isipitike…
LATRA yatangaza bei Daraja la Kawaida SGR
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora ambapo abiria anayetoka Dar es Salaam hadi Dodoma…
Serikali imelipa wazabuni kiasi cha bilioni 949 hadi Machi, 2024
Serikali imesema kuwa hadi Machi 2024 imelipa jumla ya shilingi bilioni 949.31 sawa na asilimia 92 ya madeni ya wazabuni wa bidhaa na huduma pamoja na wakandarasi yaliyohakikiwa kati ya madai yaliyowasilishwa yenye thamani ya shilingi trilioni 1.03. Hayo yamesemwa…
Serikali kuajiri watumishi wa afya 10,112
Serikali imesema kuwa mwaka ujao wa fedha itaajiri watumishi wa afya 10,112 ili kukabiliana na upungufu wa watumishi hasa maeneo ya vijijini. Hayo yameelezwa bungeni, Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia…