JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia ametupa ujasiri mkubwa wa kufanyakazi sisi wanawake – Mwenyekiti UWT Simanjiro

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania ( UWT ) Wilaya ya Simanjiro Anna Shinini amesema Muungano huo umeendelea kuwaunganisha akina mama Kwa Umoja wao na kuwapa nguvu, ujasiri mkubwa wa kufanya kazi hususani kupitia nafasi ya Mh Rais Samia Suluhu…

DC Lulandala -tukisema tuorodheshe vitu vilivyofanywa na Rais Samia muda hautotosha

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Fakii Raphael Lulandala amesema katika kipindi Cha Serikali ya awamu ya sita, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefanya shughuli nyingi na kubwa na kuiletea Tanzania Mafanikio makubwa…

Dk Biteko asisitiza umuhimu wa elimu usalama mahali pa kazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mewataka waajiri kwa kushirikiana na wadau wanaendelea kuboresha mazingira ya kazi ili kuongeza usalama mahala pa kazi na kuwawezesha watumishi kufanya kazi katika mazingira…

Serikali yatoa bil.1.5/- urejeshaji miundombinu ya barabara Mwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali imetoa shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika maeneo mbalimbali Mkoani Mwanza. Fedha hizo zimetolewa na serikali kwenda Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Mwanza ili kuanza…

Dk Mwinyi ajumuika na wananchi katika maziko ya mke wa waziri wa kilimo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa familia na Marehemu Fatma Sharif Juma Mke wa  Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe. Shamata Shaame Khamis…

TARURA : Paipu kalavati sambazwa kurudisha mawasiliano ya barabara Kilimanjaro

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kilimanjaro wamenunua na kusambaza paipu kalavati kwaajili ya kurudisha mawasiliano kwenye madaraja yaliyokatika wakati wa mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Meneja wa TARURA mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi Nicholas Francis…