JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Dk Mwinyi ateta na Balozi wa Saudia Arabia nchini Tanzania Ikulu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein AliMwinyi ameihakikishia Serikali ya Saudi Arabia ushirikiano mzuri uliopo naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hasa kwenye miradi mbalimbali yaMaendeleo.Saudi Arabia nchini Tanzania, Mhe. Yahya Ahmad Okeish na ujumbe…

Serikali kuanzisha taasisi mpya itakayotoa huduma za upasuaji wa ubongo na mishipa

Na WAF – Dar eas Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kuanzisha Taasisi mahususi ambayo itakuwa inashuhulikia masuala ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu ili iweze kuboresha zaidi huduma hizo za ubingwa kuitoa katika Taasisi ya Mifupa…

Serikali itaendelea kushirikiana na shule binafsi – Biteko

*Azitaka Wizara za Elimu, Fedha, Uwekezaji, Ardhi na TAMISEMI kukutana na Wadau wa Elimu *Shule Binafsi zizingatie maadili ya Mtanzania na Miongozo Iliyowekwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na…

Washereheshaji watakiwa kutumia kiswahili fasaha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewaasa Washereheshaji kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha na kuibua misamiati mipya ambayo inaweza kichakatwa na kuwa rasmi katika kukuza lugha hiyo. Ndumbaro ametoa rai…