Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa Rais Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Daniel Chongolo pamoja na Viongozi wengine wa Chama mara baada ya kuwasili kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma kwa ajili ya kuangalia na kukagua maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 07-08 Desemba, 2022 Post Views: 57 Post navigation Rais aongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM Taifa Rais Samia ang’ara kwa kupata kura 1914