Author: Jamhuri
Wawili mbaroni kwa kutapeli kwa kutumia jina la Mo Dewji
Na Mwandishi Maalum Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na oparesheni, misako na doria zenye tija kuhakikisha usalama wa raia na mali zao. Aidha kupitia misako na doria limepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kukamata watuhumiwa wa kughushi na utapeli, kupatikana…
Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo yapokea na kujadili taarifa ya michezo
Na Eleuteri Mangi, WUSM Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya sekta ya michezo ambayo imewasilishwa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Oktoba 23, 2023…
Mradi wa Usanifu wa bwawa la Farkwa wasainiwa, litajaza maji lita milioni 440
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maji imesaini mkataba wa mwaka mmoja na Kampuni ya SU-YAPI Engineering Consulting Inc. kwa ajili ya kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa bwawa la Farkwa litakalojengwa katika Wilaya ya Chemba, ambalo litanufanisha…
Tanzania inathamini ushirikiano kati yake na Qatar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo terehe 23 Oktoba 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Fahad Rashid Al-Muraikhi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Katika Mazungumzo hayo Makamu…
Madaktari wa watoto MNH waongezewa ujuzi matumizi ya ultrasound maalum
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Taasisi ya German Society for Tropical Paediatric and International Child Health (GTP) imeendesha mafunzo maalumu ya matumizi ya mashine ya Ultrasound maalumu kwa wataalamu wanaohudumia watoto….