JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiduku: Mwakinyo anataka bilioni tupigane

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati mashabiki na wadau wa mchezo wa ngumi nchini wakiendelea kushinikiza kutaka pambano kati ya mabondia Twaha Kiduku na Hassan Mwakinyo liandaliwe ili kumaliza utata wa nani ni bingwa wa mwenzake, Kiduku ameibuka…

Watano wafariki wakati wakivuka mto Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru  Watu watano wamefariki dunia na wengine saba wamenusulika kifo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika kivuko cha mto Ruvuma kuelekea nchi jirani ya Msumbiji. Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Julius Mtatiro amesema…

Prof. Mdoe apongeza walimu wakuu 369 kupata mafunzo ya uongozi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe, amefungua mafunzo ya Uongozi, Usimamizi na Uendeshaji wa Shule yanayoendeshwa na ADEM kwa Walimu Wakuu wa Mkoa wa Tanga katika Chuo cha Ualimu…

Watoto 174, 298 walengwa kupata chanjo ya Surua Rubella Pwani – Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani ,unalenga kufikia watoto wenye umri chini ya miaka mitano 174,298 kwa ajili ya kupata chanjo ya Surua – Rubella inayotolewa katika maeneo mbalimbali. Kampeni ya chanjo hiyo tayari imeanza Februari 15 mwaka…