Author: Jamhuri
Serikali ya Rais Samia na mpango wa kubadili fikra, mitazamo na utendaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedua, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita inayooongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, imelenga kubadilisha fikra, mitazamo na utendaji wa wataalamu ngazi ya Msingi ili wananchi wawe kitovu cha maendeleo…
‘Elimu ya watu wazima itiliwe mkazo kukabiliana na changamoto ya watu wazima wasiojua kusoma’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameagiza watendaji, maofisa elimu ya watu wazima kuhakikisha wanatilia mkazo suala la elimu kwa watu wazima ili kuendana na program na Mipango ya serikali kuboresha elimu…
Wanaosafirisha mifugo nje ya nchi watakiwa kuacha kununua mifugo katika minada ya awali
Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi Wafugaji na wafanyabiashara wote nchini wanaosafirisha mifugo kwenda nje ya nchi wametakiwa kuacha kununua mifugo katika minada ya awali badala yake kwenda kununua kwenye ile ya upili ili kuifanya sekta ya mifugo kuwa kubwa…
Taasisi ya Onastories wazindua mradi wa kuhifadhi tamaduni ya kimakonde kidigitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia TAASISI isiyo ya kiserikali ya Onastories,kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa, wamezindua maonyesho ya mradi wa uhifadhi wa tamaduni ya Makonde kwa njia ya kidigitali,ambayo kuanza kuonyeshwa kwenye mitandao ya kijamii ikiwamo Instagram na facebook kupitia…