Author: Jamhuri
Siku 1095, Rais Samia madarakani na maajabu sekta ya elimu
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Wanafalsafa wengi wamesema kuhusu elimu; Wapo waliosema elimu ni funguo wa maisha, wengine wakaongeza elimu ni Maarifa, wengine pia wakanena elimu ni Bahari. Mjadala wa elimu ni bahari ni mpana sana ukimaanisha utajiri mkubwa unaopatikana…
Makarani waongozaji wa uchaguzi wafundwa Kibaha
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Ikiwa imesalia siku tatu tu kabla ya Uchaguzi Mdogo wa udiwani Kata ya Msangani Jimbo la Kibaha Mjini ambao unatarijiwa kufanyika Jumatano Machi 20 ,2024 makarani waongozaji wamepata mafunzo. Mafunzo hayo yanetolewa leo Machi 16,…
Wananchi bonde la mto Rufiji wapewa tahadhari
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewataka wananchi walioweka makazi na kufanya shughuli za kilimo katika bonde la mto Rufiji kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maji yanayoongezeka katika mto huo. Mkuu wa Mkoa wa…
Polisi: waliokaidi kuondoa 3D kukamatwa
Na Mwandishi Wetu, Jeshi la Polisi -Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limekutana na viongozi wa madereva wa Daladala Mkoani humo kwa ajili ya kusikiliza changamoto zinazowakabili Kwa ajili ya kuzitatua. Akizungumza mara baada ya…





