Author: Jamhuri
Katibu Tawala Songea atoa maagizo kwa kwa viongozi wa vijiji, kata
Na Cresensia Kapinga, JakhuriMedia,Madaba KATIBU Tawala wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mtela Mwampamba amewaagiza viongozi wa vijiji na kata kusimamia sheria ndogo ndogo zilizowekwa ili waweze kuepusha majanga ya uharibifu wa mazingira ikiwemo uchomaji moto misitu kinyume na taratibu…
Mageuzi yalinusuru Shirika la Posta Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amelizungumzia Shirika la Posta Tanzania (TPC) kama taasisi ya umma kongwe na yenye matawi nchi nzima na kulipongeza kwa ubunifu…
Waziri Bashe atangaza neema kilimo cha umwagiliaji Katavi
Waziri Kilimo Hussein Bashe, ametangaza neema kwa wakulima wa Katavi na kusisitiza kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji. Amesema ahadi alizozitoa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan mkoani humo ni lazima zitekelezeke hivyo serikali inaendelea na uwekezaji wa…
Waadhimisha Siku ya Nelson Mandela Dar
Na Lookman Miraji,JamhuriMedia, Dar es Salaam Kila Julai 18 ya kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela ikiwa ni kuenzi ya aliyoyafanya katika jamii ya Waafrika Kusini, Waafrika na Dunia kwa ujumla. Kupitia kikao cha Jumuiya ya…
Trump aridhia kuwa mgombea urais wa Republican
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekubali rasmi uteuzi wa kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha Republican katika mkutano mkuu uliotawaliwa zaidi na jaribio la mauaji dhidi yake. Katika hotuba yake ya dakika 90, Trump ametoa ahadi kemkem…
Pinda atoa zawadi kwa walimu Kavuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Mbunge wa jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Pinda ametoa zawadi za majiko ya gesi kwa walimu wa shule za…





