JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mradi wa kutibu maji taka wazinduliwa Nzega

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdallah Shaib Kaim amezindua mradi wa ‘Bwawa la Kutibu Maji taka’ uliotekelezwa na serikali kupitia Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Nzega (NZUWASA) kwa gharama…

Waziri Kairuki aitaka TAWA kuongeza ukusanyaji mapato

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) ameitaka menejimenti ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kuhakikisha inaongeza makusanyo yake ya mapato ya ndani zaidi ya lengo iliyojiwekea la kukusanya shilingi…

KOICA yaonesha nia ya kusaidia Mfuko wa Afya Zanzibar

Na. Saidina Msangi, WF, Seoul Korea Kusini Tanzania pamoja na mambo mengine imeliomba Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) kusaidia Mfuko wa Afya wa Pamoja (Health Basket Fund) wa Serikali ya Mapinduzi-Zanzibar ili kuboresha huduma za Afya kwa…

Serikali, wadau waimarisha ushirikiano utoaji huduma ya afya ya akili

Na WMJJWM, JamhuriMedia, Arusha Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeimarisha uratibu na ushirikiano katika kutekeleza shughuli za utoaji wa huduma ya afya ya akili na msaada wa kisaikolojia (MHPSS) nchini. Hayo yamesemwa na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii…

Huduma za CT Scan kuwanufaisha wananchi wa Lindi na nchi jirani

Na Mwandishi Wetu-WAF , JamhuriMedia, Mtwara Huduma za CT-Scan katika Mkoa wa Lindi zinakwenda kupunguza adha ya wananchi kusafiri kwa umbari mrefu kufuata huduma hizo Mikoa ya jirani. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel kwa niaba…

Tume yatangaza matokeo Jimbo la Mbarali na kata sita za Tanzania Bara

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali, Bw. Missana Kwangura amemtangaza Bi. Bahati Ndingo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa Jimbo hilo baada ya kupata kura 44,334 kati ya kura 56,095 halali zilizopigwa kwenye…