JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Maono ya Rais Dk Samia yaipeleka Taifa Stars AFCON

Na Eleuteri Mangi, WUSM Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameipongeza Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufuzu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON, 2023 zitakazofanyika mapema…

Majaliwa aipa tano Taifa Stars

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) kwa kufuzu kuingia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Africa Cup of Nations 2024) itakayofanyika nchini Ivory Coast. Ametoa pongezi hizo leo (Ijumaa, Septemba 8,…

Watu 389 wakutwa na maambukizi kifua kikuu Tunduru

Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma wilayani humo,imefanikiwa kuwabaini wagonjwa 389 wa kifua kikuu kati ya wahisiwa 7,354 waliofanyiwa uchunguzi wa ugonjwa huo kuanzia mwezi Januari hadi Juni 2023. Mratibu wa kifua kikuu…

Taifa Stars kutwaa milioni 500 za Rais Samia

Na Mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametekeleza ahadi ya Shilingi milioni 500 aliyotoa kwa Timu ya Taifa Stars ikifuzu kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 nchini Ivory Coast….

Majaliwa :Tengenezeni mifumo ya kugundua risiti feki

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wataalamu wa mifumo na TEHAMA, wabuni programu tumizi ya kuweza kutambua risiti halali na zisizo halali ili kujihakikishia kuwa mapato yote yanayokusanywa yanaingia Serikalini. Kadhalika, amewataka waweke utaratibu wa kufanya kaguzi za mashine za “PoS”…