Author: Jamhuri
Pwani yapunguza changamoto ya kutojua kusoma, yanne kitaifa
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Kusoma Kuandika na Kuhesabu (KKK) vinategemeana na endapo hutojua Kusoma Kuandika ama Kuhesabu basi mwendo wa elimu huwezi kuufikia. Kutokana na hilo, sekta ya elimu mkoa wa Pwani imejiwekea mikakati mbalimbali ya kuongeza nguvu mwaka 2023-2024 kupunguza…
Kagame awafuta kazi wanajeshi 200
Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF). Pia ameidhinisha kutimuliwa kwa wanajeshi 116 wa vyeo vingine na kuidhinisha kusitishwa kwa kandarasi za…
Waziri Mchengerwa uso kwa uso na Trump Jr Tanzania
Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media Waziri wa Maliasilina Utalii, Mohammed Mchengerwa, jana Mei 6, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na mtoto mkubwa wa kiume wa Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump, Donald Trump Junior, aliyeko nchini kufanya “Royal Tour.” Katika…
Gwajima aitaka jamii kuwajibika kuwalinda wazee
Na WMJJWM, Dodoma Wakuu wa Mikoa wameombwa kuhakikisha elimu ya kina inatolewa kwa wananchi juu ya haki, ulinzi, usalama na ustawi wa wazee. Maelezo hayo yametolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima…
Fedha za kulipa deni la serikali zaongezeka kutoka Tril 9.1 hadi Tril 10.4
Serikali imeongeza fedha kwa ajili ya kulipa madeni kutoka Sh9.1 trilioni mwaka 2022/23 hadi Sh10.4 trilioni kwa mwaka 2023/24. Hayo yamesemwa leo Juni 7, 2023 na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na…
FIFA:Yanga walistahili ushindi pia, CAF angalieni upya goli la ugenini
Na mwandishi Wetu Jamhuri Media Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu Duniani (FIFA) amelitaka Shirikisho la Mpira wa miguu Barani Afrika (CAF) kuangalia upya kanuni la goli la ugenini kwa kuwa linaunyima uhalali wa usawa wa point na usawa…