JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Sabaya aachiwa huru

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Moshi Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi,imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya. Sabaya amefutiwa mashtaka saba yaliyokuwa yakimkabili leo Aprili 5,2023 likiwemo la uhujumu uchumi, kuongoza genge la uhalifu na matumizi mabaya…

Watoto wawili watumbukia chooni na kufariki

Na Allan Vicent,JamhuriMedia, Tabora Watoto wawili wa familia moja katika Kijiji cha Itetemia, Kata ya Itetemia katika Halmashauri ya Manispaa Tabora wamepoteza maisha baada ya kutumbukia katika shimo la choo lililokuwa limejaa maji. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani hapa…

Majaliwa: Tanzania kinara masuala ya maafa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kusaini mkataba wa kuanzisha Kituo cha Huduma za Binadamu na Operesheni za Dharura cha Kanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). “Lengo la kuanzisha kituo hicho ni kusimamia…

MSD yadhamiria kujenga maghala ya kuhifadhi dawa mikoa mitano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD),imedhamiria kujenga maghala matano ya kuhifadhi dawa na vifaa tiba katika mikoa mitano nchini. Hayo yamebainisha leo Aprili 5,2023 na Mkurugenzi wa MSD, Mavere Tukai,wakati wa kikao kazi na wahariri wa vyombo…

Kiwanda chakutwa na taka hatarishi za hospitali

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limempatia siku saba (7) mmiliki wa kiwanda bubu cha kukusanya na kusaga chupa za plastiki katika eneo la Kisarawe II wilayani Kigamboni kufika katika ofisi za NEMC kujibu tuhuma za…