Author: Jamhuri
Ummy awajulia hali majeruhi ajali ya gesi
Na Mwandishi Wetu,Tanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea majeruhi wa ajali ya gari iliyobeba gesi na kudondoka eneo la Kwamkono wilayani Handeni mkoani Tanga ambao wamelazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo. Baada ya majadiliano na…
Makamu wa Rais Sudan Kusini akataa uteuzi
Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar, ambaye pia ni kiongozi wa chama cha upinzani cha SPLM-IO, amekataa uteuzi wa Jenerali Chol Thon Balok kuwa waziri mpya wa ulinzi. Jenerali huyo anatoka chama cha Rais Salva Kiir na anachukua…
RC Ruvuma awatahadharisha wanafunzi kuacha kupokea zawadi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas, amewatahadharisha wanafunzi kuacha tabia ya kupokea zawadi kutoka kwa watu wasiowajua ili kuepuka kufanyiwa vitendo vya kikatili. Kanali Thomas ametoa tahadhari hiyo wakati anazungumza na wanafunzi wa…
Dkt.Mahera:Kuweni na Kauli nzuri kwa wagonjwa, ni kazi ya Mungu
Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Afya Dkt. Charles Mahera amewataka wahudumu wa afya kuwa na kauli nzuri kwa wagonjwa pia amewaagiza watendaji wote katika Sekretarieti za…
Mfumo wa kupima utendaji kazi kubaini watumishi wanaokwepa majukumu
Na Mwandishi wetu,JAMHURI MEDIA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesemamfumo mpya wa kupima utendaji kazi wa watumishi wa umma utatumika kubaini mikoa na halmashauri ambazozinaongoza kukwepa jukumu la kutoa…