JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wasimamizi wa uchaguzi waaswa kuzingatia sheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na kata kufuata na kuzingatia sheria wakati wa kutelekeza majukumu yao ili uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 23…

DMDP kuboresha miundombinu ya Jiji la Dar es Salaam kwa bilioni 988.83

Serikali kwa kushirikiana na Benki ya Dunia imesaini mkataba wa mradi wa kuboresha miundombinu katika jiji la Dar es salaam (DMDP)awamu ya pili utakao gharimu bilioni 988.83. Akizungumza baada ya kusaini mkataba huo leo februari 20,2024 jijini Dar es salaam…

Nchimbi : Wasiotimiza wajibu wao, wabinafsi siku zao zinahesabika

*Awataka wanaosuasua kukaza buti *Asema anaweza kula kiapo, Kamala alichukia rushwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amewatahadharisha viongozi wote wanaotokana na CCM wasiotimiza wajibu wao kuwatumikia watu, kwa kadri ya matarajio ya Chama…

Mpimbwe yapendekezwa kuwa wilaya

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Katavi Kamati ya Ushauri ya Maendeleo ya Mkoa wa Katavi (RCC) imependekeza Halmashauri ya Mpimbe kuwa wilaya kamili ambapo kwa sasa halmashauri hiyo iko katika wilaya ya Mlele. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya…

Wizara ya Ujenzi Misri, Tanzania zakubaliana kuboresha barabara inayopita mikoa sita

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imeingia makubaliano na wizara ya uchukuzi kutoka nchini Misri yenye nia ya kutengeneza kipande cha barabara inayopita katika mikoa 6 hapa nchini na inayoitwa inaitwa “The Cairo to Cape Town Trans Number 4” (Barabara kuu…

Waziri Makamba kuendelea kuipaisha diplomasia ya uchumi katika mkutano wa Raisina

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, January Makamba, anatarajiwa kushiriki katika Mkutano wa 9 wa RAISINA (9TH RAISINA Dialogue) unaotarajiwa kufanyika nchini India kuanzia Februari 21 hadi 23, 2024. Ushiriki wake katika mkutano huo…