Author: Jamhuri
Majaliwa atatua mgogoro wa ardhi Jiji la Mwanza
*Aruhusu ghorofa lijengwe, wawili wasimamishwa, mmoja arudishwa Wizarani Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Elikana Balandya awasimamishe kazi watumishi wawili wa Jiji la Mwanza huku akiagiza Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa…
Mgonjwa mwenye jinsia mbili atolewa jinsia ya kike Hopitali ya Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke imefanikiwa kufanya upasuaji wa kutoa viungo vya uzazi vya kike kutoka kwenye korodani ya mgonjwa wa jinsia mbili mwenye muonekano wa jinsia ya kiume. Upasuaji huo ulifaywa na jopo…
Tanzania, Marekani kushirikiana katika eneo la ufadhili wa michezo
Na Shamimu Nyaki, JamhuriMedia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amafanya mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Michael Battle yaliyojikita katika kuendeleza Sekta za wizara hiyo. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Oktoba 3, 2023 jijini Dar…
Watumishi madini watembelea mgodi wa North Mara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Kundi lingine la Watumishi wapatao 14 kutoka kada mbalimbali za Wizara ya Madini ikihusisha Makatibu Mahususi, Watunza Kumbukumbu na Wahudumu wametembelea Mgodi wa North Mara uliopo Mkoani Mara. Ziara hiyo ni sehemu ya mwendelezo wa…