Author: Jamhuri
Mo Dewji apata tuzo, amwaga sifa kwa Rais Samia
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam. Mfanyabiashara Mohammed Dewji, maarufu ‘Mo’, amesema mazingira rafiki yaliyowekwa na Rais Samia Suluhu Hassan yamechochea maendeleo ya viwanda na kuchochea biashara Mo pia ameshinda tuzo ya Afrika ya mzalishaji bora wa bidhaa…
Bilionea wa Microsoft atembelea Tanzania
Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam Mmoja wa wanahisa wa kampuni mashuhuri duniani ya Microsoft na akihudumu kwa miaka 14 kama Mtendaji Mkuu wa Masuala ya Teknolojia katika kampuni hiyo maarufu duniani, Dkt. Nathan Myhrvold, leo Juni 25,…
Wanafunzi Mkuranga kunufaika na mkakati wa lishe bora shuleni
Na Mwamvua Mwinyi, JAMHURI MEDIA Chalinze Lishe bora ni suala muhimu kwa afya ya binadamu, na ni kichocheo cha maendeleo ndani ya jamii. Katika sekta ya elimu ,lishe ni suala mtambuka ambalo linachagiza wadau wa elimu, wazazi,walezi na jamii ,kuchangia…
Ukosefu wa ofisi za madini Tarime, changamoto kwa wachimbaji
Na Helena Magabe, JAMHURI MEDIA Tarime. UKOSEFU wa ofisi za madini Wilayani Tarime ni changamoto kubwa kwa wachimbaji na wamiliki wa mashimo ya dhahabu. Licha ya kuwa Wilaya hii imejaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na madini ya dhahabu karibia kila…
Mloganzila yajipanga kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa watumishi wake
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imezindua Mloganzila Afya Jogging Club kwa lengo la kuhamasisha watumishi kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao na kukabiliana na magonjwa yasiyo ambukiza. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Club hiyo kwa niaba ya Naiba Mkurugenzi Mtandaji,…
Jafo awakumbusha Watanzania kutunza mazingira
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo, akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuongoza zoezi la upatandaji miti lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Dodoma ikiwa ni sehemu…