JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Biteko akagua visima, mitambo ya kuchakata gesi asilia songosongo

✅️Aiagiza TPDC kusimamia kikamilifu wazalishaji wa Gesi Asilia ✅️REA watakiwa kupeleka umeme kisiwani humo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara ya kikazi katika Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi…

Bodi ya TCRA yasukwa upya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Taarifa iliyotolewa leo novemba 13, 2023 na Kurugenzi ya mawasiliano ya Rais…

CCM na CPV kunufaisha sekta ya uzalishaji Tanzania

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Daniel Godfrey Chongolo amesema kuwa chama hicho kinaridhishwa na urafiki na uhusiano wake na Chama cha Kikomunisti cha Viet Nam (CPV), na kipo tayari kuendeleza ushirikiano kati ya pande hizo mbili utakaoongeza…

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23

Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy. Kifaa hicho kinatumia mpira laini wenye kamera ya uchunguzi wa mapafu…

Mawaziri wa fedha, Jinsia wa nchi za Afrika kukutana Tanzania

Na WMJJWM, Dae Es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia taasisi yake ya IMF Afritac East (AFE) imeandaa Mkutano wa…

RUWASA yatahadharisha watumiaji maji ya mvua

Na Dotto Kwilasa,JAMHURI MEDIA,Dodoma Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (RUWASA)imewashauri wananchi wanaopendelea kutumia maji ya mvua kuwa na uelewa mpana wa uvunaji, uhifadhi na matumizi sahihi wa maji hayo ili kuepuka maradhi yatokanayo na vumbi, moshi na gesi…