Author: Jamhuri
Jela maisha kwa kumlawiti mtoto wake wa miaka minne
Na Steven Augustino,JamhuriMedia,Tunduru Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imemhukumu mkazi wa kijiji cha Namiungo,Mohamed Saudi Ngwelekwe (25) kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti mtoto wake mwenye umri wa…
Rais Samia: Mimi sichukulii wapinzani kama maadui
“Mtanzania yoyote, awe chama chochote cha siasa. Tunachotofautiana ni mawazo tu na fikra. Mimi sichukulii wapinzani kama maadui, nawachukulia kama watu watakaonionesha changamoto zilipo nizitekeleze ili CCM iimarike,” Rais Samia Suluhu Hassan. Arusha, Machi 5, 2023 Rais Samia pia amekubali…
Watatu wafariki wakiwemo Polisi wawili katika ajali Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Watu watatu Mkoani Pwani wakiwemo Polisi wawili wamefariki dunia pamoja na mmoja kujeruhiwa ,baada ya gari lenye namba za usajili T.323 BAL aina ya Toyota Crester likiendeshwa na mkaguzi waPpolisi Ndwanga Dastan kuacha njia kisha kugonga karavati,na…
Kwaresma tujikabidhi kwa Mungu
Na Adeladius Makwega-Buigiri Wakristo wameambiwa kuwa Kipindi cha Kwaresma ni cha kusali zaidi, kipindi cha kuombeana mbele za Mungu na kipindi cha kujikadihi kwa Mwenyezi Mungu. Hayo yamesemwa an Padri Paul Mapalala Parokiani Chamwino Ikulu katika Kanisa la Bikira Maria…
Sungusungu wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji Tabora
Na Allan Vicent,JamhuriMedia,Tabora Walinzi 5 wa jadi maarufu kwa jina la Sungusungu wilayani Sikonge mkoani hapa wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Tabora kwa tuhuma za mauaji ya mwananchi wakiwa kwenye doria. Walinzi hao ambao ni wakazi wa…