JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAKUKURU Tabora yabaini uchochoro wa mianya ya rushwa

……………………………………………………………………………………………………….. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Tabora imebaini uchochoro wa mianya ya rushwa katika mfumo wa utoaji huduma kwa jamii na kuelekeza mamlaka husika kuondoa mapungufu hayo mara moja. Akizungumza na vyombo vya habari leo Machi…

Tanzania yaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Kupinga Unyanyapaa na Ubaguzi Duniani

Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha Siku ya Kupinga Unyanyapaa na Ubaguzi Duniani yanayoadhimishwa kimataifa Machi Mosi kila mwaka ili kuendelea kuangazia na kupaza sauti juu ya kupinga na kupiga marufuku vitendo vyote vya unyanyapaa. Madhimisho hayo yamefanyika leo…

Zanzibar kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi wafanyabiashara wanaoficha vyakula

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafungulia kesi za uhujukumu uchumi wafanyabiashara watakaobainika kwa makusudi wanaficha vyakula na bidhaa kwa lengo la kuwapandishia bei wananchi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

NHIF yakabidhi majina ya walimu waliogushi nyaraka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umekabidhi kwa Tume ya Utumishi ya Walimu jumla ya majina 78 ya walimu waliobainika kughushi nyaraka mbalimbali za wategemezi wao pamoja na matumizi mabaya ya kadi za matibabu. Walimu…

Bola Tinubu atangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Nigeria

Mgombea wa chama tawala Bola Tinubu ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata nchini Nigeria. Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 70 alipata asilimia 36 ya kura, matokeo rasmi yanaonyesha. Mpinzani wake mkuu Atiku Abubakar alipata asilimia…

Bei ya mafuta ya petroli na dizeli zapaa

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta zitakazotumika kuanzia leo Jumatano Machi 1, 2023 huku bei ya petrol na dizeli zikipaa ikilinganishwa na Februari. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi…