Author: Jamhuri
Rais Samia atoa ‘mchongo’ wa ajira kwa vijana 50 sekta ya uvuvi
Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia,Pwani Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuboresha maisha ya Watanzania hususan vijana kwa kuwawekea mazingira wezeshi ya kujiajiri kupitia shughuli za uvuvi na ukuzaji viumbe maji ili kukuza kipato chao na…
NACTVET yatoa tuzo kwa wanaotoa nafasi kuendeleza ujuzi sehemu za kazi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni na taasisi amabzo zimetoa mchango mkubwa kwenye uendelezaji ujuzi pahala pa kazi. Tuzo hizo zimetolewa mwishoni mwa wiki…
Simba yafufua matumaini
Bao pekee la beki Mkongo, Henock Inonga Baka ‘Varane’ dakika ya 20 limetosha kuipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Vipers katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa St. Mary’s mjini Kitende. Ushindi…
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo Februari 25,2023
CBE yazindua klabu ya ujasiriamali sekondari ya Temeke Wailes
Na Mwandishi Wetu Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimezindua klabu ya ujasiriamali kwa shule ya sekondari Temeke Wailes iliyoko Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam. Uzinduzi wa klabu hiyo ulifanyika jana Ijumaa kwenye shule hiyo.Chuo hicho kimesema vilabu…