JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania na Dubai zakubaliana kuondoa tatizo la uhaba wa mbolea nchini

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dubai Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo imetia saini Mkataba wa Makubaliano (MOU) na Ofisi ya Mwanafamilia ya Kifalme ya Dubai Sheikh Ahmed Dalmook Al Maktoum, ili kutoa usambazaji wa kimkakati na uhifadhi wa…

JKCI yatoa onyo waliotoa taarifa ya uongo

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) inapenda kutoa ufafanuzi wa Habari iliyosambaa katika mitandaoni ya kijamii kuwa “Huduma ya PaceMaker haipo Muhimbili, Wagonjwa wanakufa” taarifa hiyo siyo ya kweli na ipuuzwe, kwani hakuna mgonjwa aliyekufa kutokana na tatizo la kutokuwekewa…

TARURA yaanza kufungua milango kwa wakulima Tunduru

Na Muhidin Amri,JamhuriMedia,Tunduru Wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania(TARURA),Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, imeanza kufungua barabara mpya zinazounganisha vijiji vya pembezoni na mji wa Tunduru ili kuwawezesha wananchi kusafiri na wakulima kusafirisha mazao yao kwa urahisi kutoka shambani…