Author: Jamhuri
NIC lapata mageuzi makubwa ndani ya miaka mitatu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shirika la Bima la Taifa (NIC) limeelezea mageuzi yaliyofanyika ndani ya miaka mitatu katika shirika hilo na kusababisha litoke kwenye kuzalisha hasara na kuzalisha faida. Katika kipindi cha mwaka 2019/20 NIC ilikua inazalisha faida ya Sh…
Taasisi ya Miriam Odemba Foundation kujenga matundu ya vyoo 40 S/M Mwendapole Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Taasisi ya Miriam Odemba ‘Miriam Odemba Foundation’ yenye makao yake Jijini Dar-eS-Salaam inatarajia kujenga matundu zaidi ya 40 kwenye shule ya Msingi Mwendapole pamoja na kukarabati jengo chakavu linalosomewa na watoto wa elimu ya awali…
Rais Samia: Hakuna aliye juu ya sheria
Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia, MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa falsafa zake za maridhiano, ustahimilivu, mabadiliko na ujenzi mpya amezichukua kama msingi unaomuongoza katika kuongoza nchi ili isonge mbele kama Taifa kwa…
DED Rufiji-Kamati za ujenzi zilipe mafundi wa miradi ya Serikali kwa wakati
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Michael Gwimile ametaka kamati za ujenzi kuwalipa kwa wakati mafundi wa miradi mbalimbali ya maendeleo . Ameyasema hayo wakati akikagua miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo majengo ya…
Watu 26 wafariki kwa ajali ya boti Nigeria
Takriban watu 26 wamekufa na wengine kadhaa haijulikani walipo kufuatia ya ajali ya boti hapo jana katika eneo la Mokwa kaskazini mwa Nigeria. Msemaji wa Gavana wa Jimbo hilo la Niger Bologi Ibrahim amesema boti hiyo ilikuwa na watu zaidi…
Rais Samia awataka wanasiasa kutumia vyema uhuru wa kutoa maoni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini kutumia mikutano ya hadhara kutoa hoja na fikra zenye tija zinazolenga kuimarisha utendaji serikalini. Rais Samia ametoa wito huo leo wakati…