JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwijuma aikabidhi Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports

Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Tanga Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ameikabidhi Klabu ya Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports mara baada ya kuifunga timu ya Azam kwa kwa 1-0. Finali hiyo imeikutanisha miamba hiyo ya soka…

Timu ya Taifa ya walemavu wa akiliI waenda Ujerumani kushiriki michezo ya dunia

Na Mwandishi Wetu Wawakilishi wa Tanzania kwenye michezo ya Dunia kwa watu wenye ulemavu wa akili wameondoka kuelekea Ujerumani kushiriki michezo hiyo itakayoanza Juni 17 hadi 26. Msafara huo wa watu 27 umeondoka saa moja asubuhi ya leo, wakipanda ndege…

Katambi: Mishahara na maslahi ya madereva imeboreshwa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imesema mshahara na maslahi kwa madereva imeboreshwa kupitia amri ya kima cha chini cha mshahara kipya kilichoanza kutumika Januari mosi 2023. Amesema, utaratibu wa kazi kwa madereva wanaoendesha magari ya IT unafanyika kwa kuingia makubaliano…