Author: Jamhuri
Mwalimu achomwa kisu na mwanafunzi hadi kufa nchini Ufaransa
Mwanafunzi wa shule ya sekondari amemchoma kisu mwalimu hadi kufa katika shule moja katika mji wa Saint-Jean-de-Luz nchini Ufaransa. Msemaji wa Serikali ya Ufaransa Olivier VĂ©ran amethibitisha shambulio hilo la Jumatano na kusema kuwa mshukiwa alikuwa na umri wa miaka…
Tembo wachelewesha SGR, Gwajima rukhsa treni binafsi
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Umuhimu wa uhifadhi wanyamapori hususan tembo umesababisha kuchelewa kuanza kwa majaribio ya safari za treni ya SGR, maarufu kama treni ya mwendokasi nchini; imeelezwa. Safari za majaribio zilitarajiwa kuanza mwezi huu kati ya Dar es…
Utata kufutwa Gwambina FC
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Misungwi Takriban mwezi mmoja tangu kutangazwa kufutwa kwa timu ya soka ya Gwambina ya Misungwi mkoani Mwanza kwa madai ya mmiliki wake kukerwa na mwenendo wa maofisa wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), undani wa tukio…
Nini kinaendelea Uwanja wa Ndege Chato?
Na Daniel Limbe, Jamhuri Geita Wakati kukiwa na uvumi kwamba Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita umetelekezwa na sasa unatumika kwa kuanikia nafaka, hali sivyo ilivyo. Uwanja huu bora na wa kisasa uliojengwa wakati wa utawala wa Awamu ya…
MOI yafanya upasuaji kuondoa uvimbe kwenye ubongo kutumia pua
Taasisi ya tiba ya Mifupa na Milango ya fahamu (MOI) imefanya Upasuaji mkubwa wa Kuondoa Uvimbe kwa kuingia kwenye uvungu wa Ubongo kwa Kutumia tundu za Pua za Mgonjwa pamoja na kufanya Upasuaji mwingine kwa mgonjwa aliyekuwa akisumbuliwa na Uvimbe…
TMA: Mvua za msimu wa masika kuwa za wastani
Mamlaka ya Hali ya Hali ya Hewa nchini TMA, imetangaza kuwa msimu wa mvua za masika zinatarajiwa kuwa za wastani hadi chini ya wastani huku maeneo mengine yakipata mvua za wastani hadi juu ya wastani Akizungumza na vyombo vya habari…