Author: Jamhuri
Chongolo aweka wazi neema ya kumaliza kero ya usafiri ziwa Tanganyika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kwa vitendo, kuboresha huduma za uchukuzi, usafiri na usafirishaji…
Silaa ataka maeneo ya huduma kupimwa na kupatiwa hati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewataka wakurugenzi wa halmasahauri nchini kuhakikisha maeneo yote ya huduma za jamii yanapimwa kwa lengo la kulinda maeneo hayo. Waziri Silaa amesema hayo Oktoba 9,…
Wafanyakazi JKCI waunga mkono juhudi za Rais Samia za kutangaza utalii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wamefanya utalii wa ndani wa kutembelea msitu wa mazingira asilia Pugu Kazimzumbwi uliopo Kisarawe mkoani Pwani. Akizungumzia kuhusu utalii huo Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI Dkt. Peter Kisenge alisema…
Prof.Janabi: Mchango wa Serikali utoaji huduma za figo ni mkubwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeweka mchango mkubwa katika utoaji huduma za matibabu kwa wagonjwa wa figo katika ngazi mbalimbali nchini kuanzia kwenye kusomesha watalaamu, miundombinu na mashine za usafishaji damu hadi upandikizaji. Hayo yamesemwa leo na…





