JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi Katavi yasaka aliyemlawiti mtoto wa darasa la tatu

Polisi Mkoa wa Katavi inamsaka mtu mmoja ambaye bado hajafahamika kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 12. Tukio hilo limetokea Julai 17, 2023 katika Kijiji cha Dilifu, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi ambapo mtuhumiwa alimvizia mtoto huyo…

Dkt.Mpango akerwa na matajiri,Polisi kupitisha malori yenye mifugo kinyemela

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Philip Mpango ameagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha vina shugulikia migogoro ya wakulima na wafugaji ambayo inaletwa na baadhi ya viongozi pamoja na matajiri toka…

Watuhumiwa 106 jela kwa uhalifu Arusha

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoani Arusha kuanzia Januari hadi Juni, 2023 limefanikiwa kuwafikisha Mahakamani watuhumiwa wa makosa makubwa ya uhalifu ambapo 106 walipatikana na hatia na kuhukumiwa kwenda Jela vifungo mbalimbali. Akitoa taarifa hiyo leo Julai…

TPDC yapaa kiutendaji, yajiendesha kwa faida

Na Mwandishi Wetu Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeimarika kifedha kwa kupata faida ya Sh bilioni 97.78 mwaka 2021/22 ukilinganisha na Sh bilioni 22.92 kwa mwaka 2020/21. Aidha mizania ya fedha (Balance Sheet) imekuwa imara zaidi kutoka Sh…

Canada yatoa bil.240/- kwenye mfuko wa afya wa pamoja

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Canada imetoa kiasi cha Shilingi Bilioni 240 kwenye Mfuko wa Afya ya pamoja (Health Basket Fund) ili kusaidia Sekta ya Afya nchini. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amebainisha hayo Julai 20, 2023 wakati…

Mkutano wa Polisi wanawake duniani fursa kuwajengea uwezo

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es salaam Mkutano wa Umoja wa askari wa kike duniani (IAWP-international Association of Women Police) kanda ya Afrika unatarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam kuanzia Julai 22-29, 2023 ambapo utaambatana na mafunzo…