JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

MAIPAC kusaidia kompyuta shule ya Arusha Alliance

Mwandishi wetu, Arusha Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC) imeahidi kutoa msaada wa kompyuta kwa shule ya msingi ya Arusha Alliance ambayo inamilikiwa na Walimu ili kuwezesha wanafunzi kusoma masomo ya TEHAMA. Mkurugenzi Mtendaji wa MAIPAC,Mussa Juma…

‘Tutaendelea kupokea maoni ya wadau kuboresha sera za wananchi kiuchumi’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema itaendelea kupokea maoni ya wadau ya kuboresha sera za Uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa makundi mbalimbali ikiwemo vijana, wanawake na watu wenye Ulemavu katika sekta zote nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri…

Musiigeuze Mediterenia kuwa bahari ya mauti – Papa Francis

Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amelaani kile alichokiita “uzalendo wa uadui” na ametaka Ulaya iungane kushughulikia uhamiaji ni kuzuia kuigeuza Bahari ya Mediterenia kuwa “kaburi la heshima”. Mkuu huyo wa Kanisa Katoliki ameyazungumza kwenye hotuba yake refu ya…

Miongo miwili ilivyoipaisha TMDA

Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media, Dar es salaam Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata kwa kipindi cha miaka 20 tangu kuazishwa kwake. Tangu ianzishwa 2003 kama taasisi hadi 2023 TMDA imepiga hatua mbalimbali za mafanikio…

Chalamila ataka kasi ya usambazaji majisafi Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Septemba 22, 2023 katika muendelezo wa ziara yake Wilaya ya Kigamboni kukagua ufanisi wa uzalishaji wa maji Safi katika Mkoa huo, jukumu linalotekelezwa na Mamlaka…

Serikali yakabidhi vifaa tiba vya mil.500/- Hospitali ya Wilaya ya Kivule

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 500 kwa hospitali ya Wilaya ya Ilala (Kivule), lengo ni kuboresha hali ya utoaji huduma wilayani humo. Vifaa hivyo ni pamoja na Vitanda…