JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kamissoko mbadala wa Tuisila Yanga

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Kocha mkuu wa Yanga SC, Nasreddine Nabi aongeza jicho la uboreshaji katika kikosi cha timu hiyo kwa kuonesha kuvutiwa na mshambuliaji wa AS Real Bamako ya nchini Mali Ousmane Kamissoko. Kwa mujinu wa taarifa kutoka Yanga,…

Ihefu yazidi kujiimarisha kuelekea kombe shirikisho

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Wababe kutoka jijini Mbeya Ihefu FC ( Mbogo maji) wameeleza mipango yao kuelekea mchezo wa robo fainali ya kombe la shirikisho Tanzania ‘ASFC’ dhidi ya Simba SC mnamo April 7, 2023 jijini Da es Salaam. Akizungumza…

Watu 35 wafariki baada ya kutumbukia kwenye kisima India

Takriban watu 35 wamefariki baada ya kutumbukia kwenye kisima walipokuwa wakisali katika hekalu moja katika jimbo la kati la India la Madhya Pradesh. Wengine 14 wameokolewa na mtu mmoja bado hajapatikana katika ajali hiyo iliyotokea katika mji wa Indore. Polisi…

Fisi ashambulia na kujeruhi watu 10 Geita

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Watu 10 wajeruhiwa na Fisi katika kijiji cha Nyamalimbe kata ya Nyamalimbe wilayani Geita mkoani Geita. Fisi huyo aliwajeruhi raia 10 muda mfupi baada ya kumuua ng’ombe mmoja kati ya ng’ombe waliokuwa wakichungwa na watoto ambao…

Rais Samia ampokea na kuzungumza na Kamala Harris

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Davi Harris mbele ya waaandishi wa habari leo Machi 30, 2023 Ikulu ya Dar…

Azam waelekeza macho na akili ASFC

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Matajiri kutoka Chamazi ‘Azam FC’ wahamishia nguvu na utimamu wake kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ katika msimu huu wa 2022/23. Hii ni baada ya kupoteza matumaini ya kutwaa taji la Ligi Kuu…