Author: Jamhuri
Mkutano wa AGRF watamatika kwa kishindo, historia yaandikwa
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam. Viongozi wa Afrika wamekusanyika leo Septemba 08, 2023 Dar es Salaam Tanzania ikiwa ni kilele kama sehemu ya Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika 2023. Jukwaa hilo lililohitimishwa leo mchana limekusanya zaidi…
CP Dk Mussa aagwa rasmi baada ya kumaliza utumishi wake jeshini
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es salaam Jeshi la Polisi Nchini limemuaga rasmi aliyekuwa kamishna wa Kamisheni ya ushirikishwaji Jamii ambae kwa sasa ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Kamishna wa Jeshi la Polisi mstaafu CP…
Maono ya Rais Dk Samia yaipeleka Taifa Stars AFCON
Na Eleuteri Mangi, WUSM Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameipongeza Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufuzu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON, 2023 zitakazofanyika mapema…
Majaliwa aipa tano Taifa Stars
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) kwa kufuzu kuingia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Africa Cup of Nations 2024) itakayofanyika nchini Ivory Coast. Ametoa pongezi hizo leo (Ijumaa, Septemba 8,…
Watu 389 wakutwa na maambukizi kifua kikuu Tunduru
Hospitali ya wilaya Tunduru mkoani Ruvuma kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma wilayani humo,imefanikiwa kuwabaini wagonjwa 389 wa kifua kikuu kati ya wahisiwa 7,354 waliofanyiwa uchunguzi wa ugonjwa huo kuanzia mwezi Januari hadi Juni 2023. Mratibu wa kifua kikuu…





