JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hakielimu yaiomba Serikali kiswahili kiwe lugha ya kufundishia

Na Mussa Augustine Taasisi ya Hakielimu imeiomba Serikali kurejea upya mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu kuhusu matumizi ya lugha ya kiswahili kama lugha ya kufundishia ngazi ya sekondari. Rai hiyo imetolewa leo Machi 22,2023 na taasisi hiyo kupitia Mkurugenzi…

Serikali kushirikiana na wadau kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) ifikapo mwaka 2030. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi…

Kimbuga Freddy chauwa zaidi ya watu 100 Malawi, Msumbiji

Malawi ndio nchi iliyoathirika zaidi na kimbuga hicho, ambapo watu hadi sasa 99 wamepoteza maisha yao kufuatia maporomoko ya udongo yaliyosomba nyumba kadhaa nchini humo. Kamishna katika Idara ya Kukabiliana na Majanga Charles Kalemba amewaambia waandishi wa habari kuwa, wanatarajia…

Serikali yadhamiria kuachana na matumizi ya kuni,mkaa

Waziri wa Nishati,January Makamba ameeleza kuwa, Juni mwaka huu utafanyika uzinduzi wa kitaifa wa Dira ya Taifa ya kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia na Mpango Mkakati wa utekelezaji wa Dira hiyo ambayo itaainisha masuala mbalimbali ikiwemo hatua…

Watano wafariki kwa virusi vya Marburg Kagera

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Watu watano wamefariki kwa ugonjwa ujulikanao kwa jina la Marburg mkoani Kagera huku watatu wakiendelea kupatiwa matibabu katika vituo maalum vilivyojengwaBukoba Vijijini mkoani Kagera. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema uchunguzi uliofanywa na maabara ya Taifa ya…

Kamwe:Hatuna hofu kukutana na timu yoyote robo fainali

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Uongozi wa Yanga Sc umesema upo tayari kuona kikosi chao kikipangwa na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho Barani Afrika. Afisa Habari wa klabu ya Yanga ‘Ali Kamwe amesema kwa ubora…