Author: Jamhuri
Tanzania na Kenya zajadiliana uimarishaji mpaka wa kimataifa
Na Munir Shemweta, Jamhuri,Media, Arusha Tanzania na Kenya ziko katika kikao cha majadiliano ya kuendelea na kazi kuimarisha mpaka wa kimataifa wa nchi hizo mbili kipande cha awamu ya tatu cha kutoka Namanga mkoani Arusha hadi Tarakea Kilimanjaro. Kikao hicho cha…
Serikali yateketeza hekari 101 na magunia 482 ya bangi Arusha
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ( DCEA), imeteketeza jumla ya hekari 101 za mashamba ya bangi sawa na kiasi ya kilo 550 za bangi mbichi pamoja na magunia 482 ya aina hiyo ya dawa za kulevya…
Serikali yawatoa hofu wananchi kushindwa majaribio ya treni
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewatoa hofu Watanzania kuhusu muda wa kuanza kwa majaribio ya treni ya abiria kwa kipande Cha kwanza Cha reli ya kisasa ya SGR kutoka Dar Es Salaam hadi Morogoro na kueleza kuwa haijadanganya bali…
IFC yazindua programu ya jinsia ‘ANAWEZA’
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma. Katika kuwezesha wanawake kiuchumi, Serikali kwa kushirikiana na Taasisi ya Benki ya Dunia (IFC) imezindua programu mpya ya Jinsia “ANAWEZA” itakayo tekelezwa kwa miaka mitano na kugharimu zaidi ya Dola za kimarekani milioni 10. Akizungumza leo…





