Author: Jamhuri
Madaktari wafutiwa leseni kwa kusababisha vifo vya mama na mtoto Z’bar
Wizara ya Afya Zanzibar imewafutia leseni madaktari waliosababisha vifo vya mama na mtoto kutokana na uzembe walioufanya katika wodi ya wazazi Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja Mei 15, mwaka huu. Akitoa taarifa kuhusiana na hatua zilizochukuliwa dhidi ya madaktari hao kwa…
Miradi yote ikamilike kabla ya mwisho wa mwaka wa fedha
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka Wakurugenzi naWakuu wa Wilaya za Dodoma kukamilisha miradi yote kwa wakati kabla ya kukamilika mwaka wa fedha wa 2022/2023 ambao utafikia tamati ifikapo Juni 30, 2023. Senyamule ametoa maagizo hayo leo Mei…
Idara za TAMISEMI, elimu, afya na sekta binafsi vinara malalamiko ya rushwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini (TAKUKURU)Mkoa wa Dodoma katika utekelezaji wa majukumu yake imepokea jumla ya malalamiko 138 ambapo kati yake, malalamiko 81 yalihusu rushwa na mengine 7 taarifa zake kuhamishiwa Idara…
Benki ya Maendeleo TIB yaunga mkono juhudi za uzalishaji umeme
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Benki ya Maendeleo ya TIB imeunga mkono juhudi za uzalishaji wa nishati nchini kwa kutoa mkopo wa kiasi cha Dola za Kimarekani 400,000 kwa kampuni ya Nishati Lutheran (DKK) Investment Ltd inayotekeleza ujenzi wa Mradi wa…
Gwajima: Wazee turejeshe mifumo ya asili yenye kuchochea maadili mema
Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amelitaka Baraza la Ushauri la Wazee kuzingatia malengo ya Baraza hilo ambalo ni kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu na kuweka mikakati ya kutatua changamoto zinazo…





