Author: Jamhuri
Dkt. Mpango kumwakilisha Rais tuzo za CTI
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango, anatarajaiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), zitakazotolewa siku ya Ijumaa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Makamu…
Waziri Mkuu aitaka NHC kushirikisha wabia wenye uwezo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuhakikisha kuwa linachambua na kupitia kwa umakini wawekezaji watakaoleta maombi ya ujenzi wa miradi ya ubia na Shirika hilo ili kupata wawekezaji wenye uwezo wa kukamilisha ujenzi kwa viwango…
Polisi yaonyesha makucha,yawafungia madereva watano leseni
Na Abel Paul – Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka limeendelea kutoa elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva watano kwa makosa mbalimbali. Akitoa taarifa hiyo…
Mgonjwa wa homa ‘anyweshwa’ dawa ya upele
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Mgonjwa aliyekwenda kutibiwa homa Hospitali ya Misheni Bwagala iliyopo Turiani, Mvomero mkoani Morogoro amenusurika kifo baada ya kunywa dawa ya kutibu upele akielekezwa kuwa ni ya homa. Kisa hicho kimetokea Alhamisi ya Novemba 4, 2022 baada ya…
Unahisi ni nini kitakua cha tofauti katika Kombe la Dunia Qatar 2022?
Macho na masikio sasa yapo nchini Qatar wengi wakingoja kwa hamu na gamu kushuhudia michuano ya kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza ifikapo Novemba 20, 2022 Kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia linafanyika Mashariki ya Kati, nchini Qatar 2022, Michuano…
Ruvuma yakusanya bil.21/- kutokana na makaa ya mawe
Mkoa wa Ruvuma umefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 21 kutokana na madini ya makaa ya mawe katika kipindi cha mwaka 2021/2022. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wakati anatoa salama za Mkoa,kwenye mkutano wa…