JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

‘Vifo vilivyohusisha ulaji nyama ya ng’ombe Rombo havihusiani na Kimeta’

Serikali imesema vifo vya watu wawili vilivyotokea kwa ulaji wa nyama kwenye kijiji cha Msaranga kilichoko Kata ya Kisale, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro Mei 4 mwaka huu havihusiani kabisa na ugonjwa wa kimeta. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa…

Mahabusu walalamikia vitendo vya rushwa Manyara, Serikali yatoa amri

Na Lusajo Mwakabuku , JamhuriMedia, Manyara NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria Pauline Gekul ameuagiza Uongozi wa Ofisi ya Mashtaka Mkoa wa Manyara pamoja na viongozi wa Jeshi la Polisi Mkoani humo kufanya uchunguzi juu ya tuhuma zilizotolewa na mahabusu…

Serikali yaendelea kuzitafutia ufumbuzi changamoto za muungano

Katika kuhakikisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaendelea kudumu na kuimarika, Serikali imesema inaendelea na jitihada za kuzitafutia ufumbuzi Hoja nne za Muungano zilizobaki. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geofrey Pinda kwa niaba…

NMB yawa ya kwanza kuzindua malipo kwa QR na Unionpay International

Na Mwandishi Wetu BENKI ya NMB kwa kushirikiana na UnionPay International (UPI), wamezindua suluhisho la malipo ya kimtandao kupitia QR kwa wateja wao (NMB – UPI QR Code), huduma isiyo na mipaka ya malipo kwa watalii ama wageni wanaotua nchini…