JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Akamatwa akiwa na mkono wa albino kwenye begi

Na Daud Magesa,JamhuriMedia,Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza,linawashikilia watu 21 kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili akiwemo mwenye ualbino katika wilaya za Kwimba na Sengerema. Watuhumiwa hao wanadaiwa kufanya mauaji ya watu hao wawili kwa nyakati na matukio tofauti…

Polisi:Madereva msikubali kuvutwa na shetani wakati mkiendesha

Na Abel Paul,JamhuriMedia-Jeshi la Polisi Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha, Mrakibu wa Polisi SP Solomon Mwangamilo amewataka madereva kuwa makini katika matumizi ya vyombo hivyo pamoja na kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepusha ajali za…

TCRA: Laini 52,087 zilizojihusisha na utapeli zafungiwa

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imebainisha kuwa maelfu ya namba za simu zilizojihusisha na wizi, utapeli na ulaghai kupitia Mtandao wa simu zimefungwa. Akizungumza jijini Dodoma hivi karibuni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt Jabiri Bakari, amesema kuwa jumla ya…

Mbunge Jerry aahidi kutembea pamoja na wanahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Ukonga,Jerry Silaa,ameahidi kutembea pamoja na wabunge wenzake katika kuhakikisha kuwa sheria zinazobinya sekta ya habari zinakuwa rafiki. Ameyasema hayo Novemba 8, 2022 wakati akizungumza na uongozi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), na…

‘Watumishi walioharibu miradi na kuhamishwa warejeshwe’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MKUU wa Mkoa Rukwa Queen Sendiga ameagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za serikali za mitaa kuchukua hatua za kuwarejesha watendaji na watumishi wa serikali wanaotuhumiwa kuharibu miradi ya wananchi ili wajibu tuhuma zao. Kauli hiyo ameitoa jana wakati…