Author: Jamhuri
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike
Tarehe 11 Oktoba ya kila mwaka Tanzania uungana na nchi nyingine wanachama wa Umoja wa Mataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ambapo lengo la maadhimisho ni kutoa fursa kwa wadau wanaotekeleza afua za watoto hususani watoto wa…
Serengeti Boys yatinga nusu fainali CECAFA
TIMU ya taifa ya Tanzania imefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya michuano ya CECAFA U17 baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Somalia jana Uwanja wa Abebe Bikila Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia. Mabao ya Serengeti Boys katika mchezo huo wa…
TAMCODE yashauri adhabu ya kifo iondolewe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Vyombo vya Habari kwa Maendeleo ya Jamii Tanzania (TAMCODE) limetoa wito kwa Majaji kutoa hukumu ya kifungo cha maisha kwa washtakiwa wa mauaji badala ya kifo ili kuokoa watu wasiokuwa na hatia. Akizungumza na Waandishi…
Wenye umri wa Miaka 50-59 wanogesha riadha SHIMIWI
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga Mchezo wa riadha watu wazima wenye umri wa miaka 50-59 umekuwa kivutio katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara za Serikali, Wakala na Mikoa (SHIMIWI) inayoendelea jijini Tanga. Usemi wa “Yake ni dhahabu” umejidhihirika katika…