Author: Jamhuri
Benki ya Dunia yaridhishwa na TSC kutekelexa mradi wa BOOST
Benki ya Dunia ambayo ni mfadhili wa Mradi wa BOOST imeonesha kuridhishwa na namna Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inavyotekeleza moja ya malengo ya mradi huo katika kuwasaidia walimu kuwa na mwenendo mwema unaozingatia miiko na maadili ya kazi…
Dugange amsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Bunda
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Bunda, Timothy Mwajara na amewata Mkurungenzi Bi. Changwa Mkwazo na Mganga mkuu wa Halmashauri hiyo Jamaly Kimamba kujitathimini utendaji kazi wao kwa…
Serikali kuendelea kujenga vituo vya utafiti wa madini nchini
Serikali imesema inaendelea kujenga vituo vya utafiti wa madini nchini (Ofisi za GST) kupitia Taasisi ya Jiologia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) ili kutoa huduma za upimaji wa sampuli za miamba, mbale, tope, marudio, vimiminika na udongo ili kutambua…
Marekani kuwapa fursa vijana wa Kitanzania wenye vipaji
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul leo Januari 13, 2022 jijini Dar es Salam, ameongoza kikao kati ya Wizara hiyo na Wadau wa Diaspora kutoka nchini Marekani kupitia asasi ya Global Youth Support Center, kujadili nia ya…
Bodi ya Pamba yawapa kicheko wakulima Simiyu
Zaidi ya wakulima 1,500 kutoka Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, wamepatiwa pembejeo mbalimbali za kilimo kwa ajili ya zao la Pamba vikwemo vinyunyuzi dawa, pamoja na dawa sumu lengo likiwa kupamba na wadudu wanaoshambulia zao hilo wakiwemo funza. Pembejeo hizo…