Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma 04 Julai, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, wakati Balozi Fantl alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023. Post Views: 69 Post navigation RC Chalamila amuapisha DC mpya Temeke Serikali yasaini mikataba mitatu yenye thamani ya Bilioni 455.09 kutoka EU