JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wawekezaji Arusha wammwagia sifa Rais Samia ujenzi wa barabara

Wawekezaji na wananchi wa kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamemsifu na wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwajengea kwa kiwango cha lami barabara za Themi -Viwandani zenye urefu wa kilometa 1.4 kwagharama ya shiligi 1,175,141,850.00….

Serikali yaruhusu mabasi kupakia na kushusha vituo binafsi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza kuondoa katazo lililokuwa likizuia mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi na badala yake ameruhusu utaratibu huo kuendelea…

‘NHIF itaendelea kuwepo na kutoa huduma kwani ni tegemeo la Watanzania’

Serikali imesema inaendelea kuchukua hatua stahiki kuhakikisha kuwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unakuwa imara, endelevu na stahimilivu kwa kuendelea kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwa mfuko huo ni moja kati ya mfumo unaotumika katika kuhakikisha huduma…

CCM haitamvumilia mwana-CCM anayewania uongozi kwa kutumia ukabila

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama hakitamvumilia mwanachama yeyote ambaye anataka kuwania nafasi ya uongozi kwa kutumia udini, ukabila na ukanda. Amesisitiza Chama kinawatafuta watu wa namna hiyo na endapo kitaelezwa…

Kinana aishauri kampuni ya meli kujiendesha kibiashara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana ameishauri Kampuni ya huduma za meli nchini (MSCL) kujiendesha na kuanza kufikiri kibiashara ikiwemo kuomba dhamana za serikali Ili kukopa fedha na kununua meli mpya ili…