JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Idadi ya wagonjwa yaongezeka Mlongazila

Idadi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma ya matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imeongezeka kutoka 10854 kufikia 11188 kwa wagonjwa wa nje wakati wagonjwa wanaolazwa 793 hadi 1052 katika kipindi cha miezi miwili kuanzia Septemba hadi Novemba mwaka huu….

Tanzania Prison yawekewa Milioni 20 mezani kuiua Yanga

Na Mwandishi Wetu Wadhamini wa ‘wajelajela’ Tanzania Prisons ya Mbeya, Silent Ocean, wametoa ahadi ya milioni 20 kwa wachezaji wa timu hiyo ikiwa watafanikiwa kupata ushindi dhidi ya Yanga SC katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara siku ya Jumapili…

Rais Samia atunukiwa udaktari wa heshima UDSM

Na Wilson Malima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya juu heshima ya udaktari katika fasihi ‘Doctor of Letters. Honoris Causa ‘ ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mahafali ya 52 duru…

Henderson awasikitikia Salah, Sadio Mane kutokushiriki kombe la Dunia

Nahodha wa Liverpool na mchezaji wa timu ya taifa ya Uingereza, Jordan Henderson, ameeleza masikitiko yake kwa Sadio Mane na Mohamed Salah baada ya wachezaji hao kushindwa kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea huko nchini Qatar.  Mohamed Salah ameshindwa…

Vigogo wa ligi kuu wapangiwa wapinzani kombe la shirikisho la Azam

Droo ya hatua ya pili ya Michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam imefanyika hii leo ambapo vigogo wa ligi kuu Tanzania Bara wameingizwa katika ratiba hiyo baada ya kutohushishwa katika hatua ya kwanza.   Simba SC watakutana uso kwa uso…