Author: Jamhuri
Fisi ashambulia na kujeruhi watu 10 Geita
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Watu 10 wajeruhiwa na Fisi katika kijiji cha Nyamalimbe kata ya Nyamalimbe wilayani Geita mkoani Geita. Fisi huyo aliwajeruhi raia 10 muda mfupi baada ya kumuua ng’ombe mmoja kati ya ng’ombe waliokuwa wakichungwa na watoto ambao…
Rais Samia ampokea na kuzungumza na Kamala Harris
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempokea na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Davi Harris mbele ya waaandishi wa habari leo Machi 30, 2023 Ikulu ya Dar…
Azam waelekeza macho na akili ASFC
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Matajiri kutoka Chamazi ‘Azam FC’ wahamishia nguvu na utimamu wake kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara ‘ASFC’ katika msimu huu wa 2022/23. Hii ni baada ya kupoteza matumaini ya kutwaa taji la Ligi Kuu…
Mbrazil autaka ushindi kwa Raja
Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Kocha mkuu wa Klabu ya Simba SC, Robert Oliveria ameeleza kuwaheshimu wapinzani wao ‘Raja Casablanca’ kuelekea mchezo wao wa mwisho wa kundi C, Ligi ya mabingwa Afrika,utakaopigwa huko nchini Morocco. Robertinho ameyasema haya baada ya kundi…
Nape: Serikali kuzifanyiakazi
sheria za habari zenye kasoro
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Waziri wa habari, Mawasiliono na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amesema kuwa dhamira ya Serikali ni kuimarisha sekta ya habari ikiwa ni pamoja na kuzipitia sheria zinazolalamikiwa na wadau ikiwemo sheria ya huduma za habari namba 12…
Makamu wa Rais wa Marekani awasili nchini Kamala Harris
Picha mbalimbali zikionesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29…





