Author: Jamhuri
Mil.710.7/- zatumika kuboresha Pori la Akiba Pande
Serikali imetumia kiasi cha shilingi milioni 710.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya utalii ya Pori la Akiba Pande ili kuhakikisha kuwa pori hilo linaendelea kuwa kitovu cha utalii katika jiji la Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maliasili…
Barabara Kigamboni kujengwa kwa lami
Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu ya barabara za Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam kwa kuzijenga kwa kiwango cha lami kama ilivyopangwa. Akijibu swali Bungeni leo lililoulizwa na Mbunge wa Kigamboni Dakta, Faustine Ndugulile aliyetaka kujua ni lini Serikali…
Waziri Mkuu mgeni rasmi uzinduzi wa nyaraka za usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Uzinduzi wa Nyaraka za Usimamizi wa Maafa nchini unaotarajia kufanyika Februari 9,2023. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri…
‘Nguzo za ukubwa mita 13 zinapatikana nchini’
Na zuena Msuya,JamhuriMediaTanga Kamati ya kuishauri Serikali namna ya upatikanaji wa Nguzo bora za Umeme za Miti, imesema kuwa nguzo za miti za umeme zenye ukubwa wa mita 13 zinapatikana nchini tofauti na inavyoelezwa na baadhi ya wakandarasi wanaotekeleza miradi…
Bomoabomoa yazikumba nyumba 152 Pwani, wakazi wajihifadhi shuleni
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ametolea ufafanuzi sakata la bomoabomoa ya nyumba katika kitongoji cha Matuga, Kata ya Kawawa na Zegereni wilayani Kibaha na kusema endapo kama hawajaridhika na maamuzi ya Baraza la Ardhi…
Tetemeko la ardhi Uturuki,vifo vyafikia 4,800
Idadi ya vifo inaongezeka hadi sasa zaidi ya 4,800 vimerekodiwa kutokana na tetemeko lilitokea siky ya Jumatatu. Nchini Uturuki, idadi ya watu ambao wamekufa kwa sababu ya matetemeko haya ya ardhi imeongezeka hadi 3,381, kulingana na mamlaka ya maafa nchini…





