Author: Jamhuri
Tanzania na Uganda zasaini mkataba upembuzi yakinifu wa bomba la gesi.
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi yakinifu wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha…
Serikali yatoa ufafanuzi mifugo iliyokamatwa Serengeti.
Na Happiness Shayo Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha ng’ombe 806, kondoo 420 na mbuzi 100 waliokamatwa Serengeti na kupigwa mnada baada ya Mahakama ya Musoma kutoa hukumu, limeshahitimishwa kimahakama baada ya taratibu…
CTI na wafanyabiashara wa Marekani kuendeleza ushirikiano wa kibiashara
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle amesema serikali inapaswa kutengeneza sekta binafsi imara ili kufikia maendeleo makubwa ya biashara na ujenzi wa viwanda vingi vitakavyoongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na…
Dk Biteko afanya mazungumzo na Waziri wa Biashara wa Korea Kusini
Aahidi kuendeleza ushirikiano katika kukuza uchumi Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini,…
Profesa Mwandosya ataka Sera matumizi ya akili bandia
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es salaam. Waziri wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, Profesa Mark Mwandosya, ameishauri serikali kutunga sera ya kudhibiti matumizi ya akili bandia ili kuzuia watu kuitumia vibaya teknolojia hiyo. Prof Mwandosya ametoa ushauri huo…
Mavunde:Tanzania mbioni kuchimba madini hadimu (REE)
Na Samwel Mtuwa – Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Madini itaanza rasmi uchimbaji wa Madini Adimu yaani Rare Earth Element (REE) kupitia kampuni ya uchimbaji madini ya Mamba ijulikanayo kama Mamba Minerals Corporation Limited (MMCL) yenye ubia kati ya Serikali…





