JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Simba yatinga robo fainali kwa kishindo, Chama aondoka na mpira

Timu ya Simba mefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kufanikiwa kuichapa Horoya AC kwa mabao 7-0 katika mchezo wa Kundi C leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao…

Majaliwa :Nendeni mkasimamie ajenda za kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya nchini wakasimamie ajenda za kitaifa ikiwemo ya mapambano dhidi ya rushwa. Amewataka pia wasimamie changamoto za upatikanaji wa ajira, kudhibiti vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, kusimamia uoto wa asili…

Mama Janeth Magufuli atoa msaada kwa wanafunzi

Mama Janeth Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli, uongozi wa wilaya katika picha ya kumbukumbu na wawakilishi wa watu wenye ulemavu waliokabidhiwa baiskeli za magurudumu…

Mabula awataka Ma-DC kuanzisha rejista ya migogoro ya ardhi

Waziri wa ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angelina Mabula amewataka Wakuu wa Wilaya nchini kuhakikisha kila Halmashauri inakuwa na rejista ya migogoro ya ardhi ili kujua chanzo chake pamoja na mikakati ya utatuzi wa migogoro hiyo kila inapojitokeza….

Bashe awaita wawekezaji kuja Tanzania

Na Mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewakaribisha wawekezaji kutoka katika maeneo mbalimbali duniani kuja kuwekeza kwenye kilimo na kuahidi kuwa Serikali itatoa ardhi na kuweka mazigira bora. Bashe ameyasema leo Machi 17, 2023 Ikulu jijini Dar…