Author: Jamhuri
Chongolo amaliza ziara yake Simanjiro kwa stahili hii
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amemaliza ziara yake Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ambapo pamoja na kukagua uhai wa chama sanjali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025. Katibu Mkuu kwa…
Waziri Mabula ataka wanawake kujiamini
Na Munir Shemweta, WANMM Kwimba Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wanawake nchini kujiamini wakati wa kutekeleza majukumu yao. Dkt.Mabula amesema hayo tarehe 8 Machi 2023 wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani…
Pwani yapokea migogoro ya ndoa 689,watoto nje ya ndoa 973
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kupitia Madawati ya Ustawi wa Jamii na maeneo ya utoaji huduma za kijinsia katika Halmashauri yamepokea migogoro ya ndoa 689 ,matunzo 908 na migogoro inayohusu watoto wa nje ya ndoa 973 katika kipindi cha…
DC Okash: Watakaochezea haki ya mwanamke,Serikali kumshughulikia
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kupitia madawati ya ustawi wa Jamii na maeneo ya utoaji huduma za kijinsia katika Halmashauri yamepokea migogoro ya ndoa 689 ,matunzo 908 na migogoro inayohusu watoto wa nje ya ndoa 973 katika kipindi cha…
ACT-Wazalendo yaitaka Serikali kupitia upya mfumo wa taasisi za mikopo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Tanzania Bara Dorothy Samu ameitaka Serikali kupitia upya mfumo mzima wa Taasisi zisizo za Kiserikali zinazotoa mikopo na kuangalia riba zao kutokana na kuwa zimekuwa mzigo kwa wanawake na kupelekea…
Nabi afunguka kilichomtoa Aziz Ki
Na Tatu Saad Dakika 45 za kipindi cha kwanza ndizo dakika pekee zilizomtosha Stephan Azizi Ki katika mchezo wa jana wa kombe la shirikisho barani Afrika, Yanga dhidi ya Real Bamako ya Mali, baada ya kocha mkuu wa Klabu ya…





