Author: Jamhuri
LHRC yalaani matukio ya mauaji albino nchini
Kufuatia mauaji ya Mkazi wa Wilaya ya Kwimba jijini Mwanza Ndugu Joseph Mathias mwenye umri wa miaka (50),kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu,kwa kushirikiana na Chama Cha watu wenye Ualbino Tanzania na Mtandao wa watetezi wa Haki za Binadamu…
Kijana aliyeokoa watu ajali ya ndege Serikali ‘yamuheshimisha’
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kijana Majaliwa Jackson aliyeona ndege ikianguka na kuamua kwenda kutoa msaada wa uokoaji akabidhiwe kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aingizwe katika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili apate mafunzo zaidi. Hayo…