Author: Jamhuri
Ushindani mkali kati ya Ruto na Odinga
Uchaguzi huu unaonekana kuwa kinyang’anyiro kikali kati ya wagombeaji Bw Odinga na Bw Ruto. Bw Odinga kiongozi wa upinzani wa muda mrefu, anayeitwa Baba “baba” na wafuasi wake, anawania urais kwa mara ya tano. Bw Ruto, ambaye amejaribu kusisitiza uhusiano…
Waziri Pindi Chana amshukuru Rais Samia
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wizara yake fedha za utekelezaji wa Mradi wa kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Utalii Kusini mwa Tanzania(…
Diplomasia ya kiuchumi ya Rais Samia yaing’arisha Tanzania
Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Mbeya Diplomasia ya kiuchumi iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ndani na nje ya nchi imesaidia upatikanaji wa Dola za Marekani Milioni 925 kuboresha miundombinu ya elimu. Waziri wa…
Serikali yawaondolewa mzigo wakulima
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Serikali imewaondolewa mzigo wakulima baada ya kuzinduliwa kwa Mpango wa Ruzuku ya Mbolea utakaowawezesha kupata nafuu ya bei za mbolea katika msimu wa kilimo 2022/2023. Uzinduzi huo umefanywa leo Agosti 8, 2022 na Rais Samia…
Serikali yaombwa kuondoa kodi ya maziwa yanayosafirishwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeombwa kuondoa kodi ya maziwa yanayosafirishwa kutoka nje ya nchi ili bei ya maziwa iwe shindani na kuweza kupanua soko la maziwa zaidi. Hayo yamesemwa leo jijini Arusha na Afisa mauzo kutoka kampuni ya…