JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania,Namibia zaweka mikakati ya kukuza sekta ya biashara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Balozi wa Namibia Nchini Tanzania Lebbius Tangeni Tobias,amefanya ziara rasmi ya kikazi katika Chemba ya Biashra, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Chemba hiyo, Paul Koyi katika ofisi za Makao Makuu…

Tanzania, Zambia kushirikiana katika kukuza kibiashara

Tanzania na Zambia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika kuibua fursa za biashara na kutatua mara moja changamoto zilizopo na zitakazojitokeza katika uwekezaji na biashara ili kukuza biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamesemwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda…

Sagini aagiza kufuatilia mienendo utendaji kazi wa askari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,MoHA Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini ameviagiza Vyuo vya Polisi nchini kuupitia mtaala wa mafunzo ili kujua kwa kiwango gani unajaribu kugusa changamoto mbalimbali zinazoonekana katika utekelezaji wa kazi za Maafisa na Askari…

Serikali yatoa vishikwambi 270 kufundishia elimu ya uzaji/VVU

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Singida MKUU wa Wilaya ya Singida,Mhandisi Paskas Mragili, amezitaka shule za msingi na sekondari wikayani hapa kujipanga kuingia katika mfumo wa ufundishaji kwa njia ya kidigitali kwa kuwa mpango wa serikali ni kutaka utendaji wote uwe unafanyika kidigitali….

Serikali kuendelea kutekeleza miradi pande zote za Muungano

Serikali imesema itaendelea kutafuta fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya kukabiliana na athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa pande zote mbili za Muungano. Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Switbert Mkama alipofanya…

Asilimia 17 ya umeme unapotea kinyemela Zanzibar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia ASILIMIA 17 ya umeme unaopotea Zanzibar kutokana na baadhi ya watu kuunga umeme kinyume na sheria hali ambayo inapelekea nchi kukosa mapato. Waziri wa Maji,Nishati na Madini Shaibu Kaduara amesema wanaotumia umeme kinyume na Sheria ni kosa…