JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nyumba ya mwandishi wa habari yapigwa mnada kufidia deni la mil.5.2/-

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar “Nilikuwa Dodoma kwenye kazi za uandishi wa habari ghafla nikapigiwa simu na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichangani, Kata ya Kinyerezi Wilaya ya Ilala kuwa nyumba yangu inapigwa mnada kwa sh.milioni 30 ili kufidia deni…

Rais Samia afuta sherehe za miaka 61 ya Uhuru

Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amefuta sherehe za Miaka 61 ya uhuru na kuagiza fedha zote kiasi cha shilingi milioni 960 zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe hizo kuelekezwa katika ujenzi wa Mabweni katika shule 8 zenye wanafunzi wenye mahitaji maalumu…

Wanaohujumu mitihani kushughulikiwa

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Dar Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na maafisa wengine wote wakiwemo askari ambao wamepewa jukumu la kusimamia mitihani. Hatua hizo dhidi ya wasimamizi hao wa mitihani zitahusisha…

Uboreshaji bandari unahitaji uwekezaji

Na Stella Aron,JamhuriMedia NI lini Tanzania itaandika historia yake kwa kujiweka imara na kukuza uchumi kupitia biashara iliyoongezeka, kuvutia uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni na kutengeneza ajira kupitia bandari ya Dar es Salaaam. Kuna maswali mengi ambayo hukosa…

Medo amfukuzisha kazi Boniface Mkwasa

Aliyekuwa kocha mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa ‘Master’ amebwaga manyanga kunako kikosi cha Ruvu Shooting kufuatia mwenendo mbaya wa timu hiyo ambayo imecheza mechi 15, ikishinda mechi 3, sare 2 na kupoteza mechi 10 huku wakiwa nafasi ya pili…