Author: Jamhuri
Rais Samia hongera, maliza la Mbowe tugange yajayo
Na Deodatus Balile, Zanzibar Leo naandika makala hii nikiwa hapa eneo la Mlandege, Zanzibar. Nimemaliza mjadala wa kuelekea mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mjadala huu ulihusu “Maendeleo katika Sekta ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.”…
Mjadala matumizi ya ‘cable cars’ kufanyika mwezi ujao
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wanatarajia kufanya mjadala wa matumizi ya magari ya umeme yanayopita kwenye nyaya (cable cars) kwa ajili ya kuwapandisha watalii katika Mlima Kilimanjaro. Kauli ya Ndumbaro…
Dk. Ndumbaro: Bila dhamana ya benki hakuna kitalu
DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ameagiza waombaji na washindi wa mnada wa vitalu vya uwindaji wa kitalii kuhakikisha wana dhamana ya benki kabla ya kukabidhiwa vitalu. Dk. Ndumbaro ametoa maagizo hayo…
Waarabu walipotuonyesha walipo
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wafaransa wanatamka ‘La Norme’. Wareno wanatamka ‘Pradao’. Wahispania wanatamka ‘El standard’. Sisi Waswahili tunatamka ‘Kiwango’. Ndiyo ni kiwango! Mataifa ya Afrika Mashariki ambayo wakazi wake wengi ni wenye asili ya Kiarabu, ni mataifa makubwa…
Jane: Harmonize ni mtoto wa Mungu
Dar es Salaam Na Christopher Msekena Omoyo ni miongoni mwa kadhaa nchini ambazo tangu kuwekwa kwake hadharani hazijawahi kuchuja. Wimbo huo uliotoka zaidi ya miaka 10 iliyopita umeendelea kuwa burudani na baraka kwa mamilioni ya watu kwenye maeneo ya starehe,…