Author: Jamhuri
Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya Wizara ya Habari
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha Bilioni 215.25 ikiwa ni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa Mwaka wa Fedha 2023/24.. Aidha Wizara…
Rais Mstaafu Kikwete aongoza harambee ya GGML KILL Challenge
Na Mwandishi Wetu Jumla ya Dola za Marekani 700,000 (sawa na Sh bilioni 1.6) zimepatikana katika uzinduzi wa harambee ya kampeni ya GGML Kili Challenge iliyoongozwa na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kwa lengo la kukusanya Sh bilioni 2.3 fedha…
Watendaji sekta ya afya wanaokwamisha maono ya rais hawatafumbiwa macho
Na Mwanfishi Wetu. JamhuriMedia, Mwanza Serikali Kanda ya Ziwa imesema haitawafumbia macho watendaji wa sekta ya afya wanaokwamisha jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika maboresho sekta ya afya. Akizungumza leo Mei 19, 2023 katika kikao kazi cha watendaji…





