JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uhusiano na Kenya uwe wa kudumu, lakini… 

Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wamefanya mazungumzo Ikulu ya Dar es Salaam na kufikia makubaliano kadhaa muhimu kwa wananchi wa mataifa haya jirani. Mazungumzo yao yalikamilika kwa kutiliana saini mikataba minane katika nyanja…

Nyimbo mbaya habembelezewi mwana

Na Joe Beda Rupia Sina hakika kama hili bado linafanyika, lakini zamani akina mama walikuwa wakiwabembeleza watoto wao kwa kuwaimbia nyimbo. Kwa namna yoyote ile, nyimbo zilizokuwa zikitumika kuwabembeleza watoto ni lazima ziwe nzuri na za kuvutia. Nyimbo tamutamu! Ni…

Bandari sikio la kufa

Kikundi chajipanga kuhujumu mabilioni kupitia mikataba, zabuni zageuzwa kichaka cha rushwa DG Eric, Mwenyekiti wa Zabuni wazima mchongo wa Sh bil. 6.34, cha juu kimeongezwa makao makuu Rais Samia afyatua waliozembea, uchunguzi mkali waanza kubaini wachotaji Ujenzi wa meli kichaka…

Mangula: Rais aungwe mkono

Akemea upotoshwaji wa masuala nyeti ya kitaifa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bara, Philip Mangula, amesema ni kawaida kwa kiongozi mahiri kuanzisha au kukamilisha miradi ya maendeleo hata iliyo nje ya ilani ya uchaguzi ya chama chake kwa…

Rais Sambi amuomba Rais Samia amwokoe

#Miaka 3 sasa amefungiwa kizuizini chumbani #Anyimwa tiba, haruhusiwi kuona mkewe, watoto #Rais Azali Assoumani kichwa ngumu, awa jeuri NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Aliyekuwa Rais wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Ahmed Abdallah Mohamed Sambi, amemwandikia barua Rais…

‘Happy Birthday’ JAMHURI

Jana Desemba 6, 2021 ilitimia miaka 10 tangu toleo la kwanza la Gazeti la JAMHURI lilipoingia kwenye orodha ya magazeti yanayochapishwa, kusambazwa na kuuzwa ndani na nje ya nchi yetu. Desemba 6, 2011 inabaki kuwa siku muhimu kwetu waanzilishi wa…