JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Metacha Mnata na bahati ya mtende

Mpira wa miguu ni mchezo wenye mambo mengi sana. Ndiyo maana soka ina a.k.a nyingi kama Koffie Olomide. Yeye ni Grand Mopao, Papa Fololo, Gangi ya Film, Le Jeune Pato, Quadra Koraman, Songe ya Mbeli, Le Grand Mbakala, Papa Rocky,…

Simba, Yanga lazima zilie

Zitalia sana! Nikukumbushe kwanza. Kikao cha Kamati ya Uongozi cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kimeridhia baada ya siku 30 pale serikali itakaporuhusu michezo kuendelea, mechi za Ligi Kuu Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi Daraja la Pili na Ligi…

Waziri Simbachawene awanyoosha NIDA

Siku chache baada ya Gazeti la JAMHURI kuchapisha habari za uchunguzi kuhusu ulegelege wa Mamlaka ya Vitambulisho Tanzania (NIDA) kushindwa kufanya kazi ya kutoa vitambulisho vya uraia inavyotakiwa kutokana na kuharibika kwa mitambo na hujuma za baadhi ya watumishi, Waziri…

Wafanyabiashara Machinga Complex wadhulumiana

Wafanya-biashara 370 katika Soko la Machinga Complex jijini Dar es Salaam wamebaki katika hali ya sintofahamu baada ya mamilioni ya fedha waliyochanga na kufungua akaunti katika Benki ya Equity Tawi la Kariakoo ili waweze kupata mikopo kushindwa kuwasaidia. Wafanyabiashara hao…

Wafanyabiashara walikimbia Soko la Buguruni

Zaidi ya wafanyabiashara 500 katika Soko la Buguruni katika Manispaa ya Ilala wamelikimbia soko hilo kutokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo kutokuwepo kwa usafiri wa uhakikika kwa wateja na miundombinu mibovu wakati wa mvua. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Katibu wa…

Tanzania yaungana na dunia kukabili corona

Tanzania imechukua hatua ya kusitisha safari za ndege za kimataifa kama sehemu ya jitihada zinazochukuliwa na nchi nyingi duniani kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa virusi vya corona (COVID-19). Mashirika mbalimbali ya ndege ulimwenguni yamesitisha safari zao kwa lengo la…