JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Urusi: Mazungumzo na Ukraine huko UAE yalikuwa chanya

Ikulu ya Urusi Kremlin, imesema hii leo kwamba mazungumzo ya pande tatu yaliyoratibiwa na Marekani huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kati ya wajumbe wa Urusi na Ukraine yalifanyika kwa mtazamo wa kujenga. hIkulu ya Urusi Kremlin, imesema hii…

Milioni 675/-kutekeleza mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Mailimoja Tabora

Na OWM – TAMISEMI, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali imetoa Shilingi milioni 675 kutekeleza mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Mailimoja cha Manispaa ya Tabora, ili kuboresha huduma…

DC Nickson atoa rai kwa walimu, wasimamizi kuwatambua wanafunzi wenye uhitaji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon, ametoa rai kwa walimu na wasimamizi wa shule kuwatambua na kuwafuatilia wanafunzi wanaokabiliwa na changamoto za kijamii. Amesisitiza kuwa uwekezaji wa miundombinu ya elimu hautakuwa na matokeo chanya…

THBUB yawasihi watumishi wa tume hiyi kuwatii viongozi

Kamishna Mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Ofisi ya Zanzibar, Mhe. Khatibu Mwinyi Mwinyichande, amewanasihi watumishi wa Tume hiyo kuendelea kuwatii viongozi wao na kujituma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Kamishna Mwinyichande, ametoa…

Wizara ya Ardhi yaingilia kati sakata la eneo lenye mgogoro Geita

Na Munir Shemweta, WANMM Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingilia kati mgogoro wa matumizi ya ardhi unaomhusisha mwekezaji Rashid Kwanzibwa, aliyedaiwa kubomoa baadhi ya majengo yaliyokuwa kwenye maeneo ya serikali na kuanzisha miradi bila utaratibu katika eneo…

Serikali yazindua kikosi kazi cha kuandaa mpango kazi wa uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imezindua Kikosi cha Kuandaa Mpango kazi wa Kitaifa na hatua za utekelezaji wa Matumizi Endelevu ya Maeneo ya Maji (MSP) ili kuimarisha Uchumi wa Buluu. Kikosi hicho kimezinduliwa na Naibu…