Author: Jamhuri
Jasi yatikisa Same
📍Same SHUGHULI za uchimbaji wa madini ya Jasi katika vijiji vya Ruvu Jiungeni na Makanya, wilayani Same mkoani Kilimanjaro, zimeendelea kushika kasi huku wachimbaji wadogo wenye leseni zaidi ya 200 wakiungana kuimarisha uzalishaji na usimamizi wa rasilimali hiyo muhimu kwa…
Chongolo asisitiza ulinzi wa mradi wa umwagiliaji Mkombozi kwa manufaa ya Watanzania
📍 NIRC Iringa Waziri wa Wizara ya Kilimo, Daniel Chongolo, amesisitiza ulazima wa kulindwa kwa Mradi wa Umwagiliaji Mkombozi uliopo Pawaga mkoani Iringa, akieleza kuwa uwekezaji huo wa serikali unalenga kuongeza uzalishaji wa mpunga, kuinua kipato cha wakulima na kuchangia…
Dk Nchimbi amwakilisha Rais Samia mazishi ya Kardinali Pengo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama…
Waziri Kabudi ataka wasomi waandike vitabu vya maisha yao
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Palamagamba Kabudi, amempongeza mwanazuoni mashuhuri wa Tanzania, Keto Mshigeni, kwa kutunga kitabu kinachoelezea maisha yake, akisema ni hazina muhimu kwa kizazi cha sasa na kijacho kujifunza historia…
TEA yasisitizwa kufanya kazi kwa kuzingatia miongozo na sheria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam SERIKALI imekitaka Chama cha Wataalamu na Wadau wa Nishati nchini (TEA) kufanya kazi kwa kuzingatia miongozo, sera na taratibu zinazoandaliwa na serikali katika sekta ya nishati. Akizungumza Februari 2026 jijini Dar es Salaam kwa…
Tume ya Uchunguzi yakutana na mmiliki wa mabasi ya Esther
Na Festo Polea TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Leo Februari 28 imekutana na mmiliki wa mabasi ya Esther, Joseph Didas. Mahojiano hayo ya Tume na Didas yamefanyika…





