JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Kikwete avutiwa na mfumo wa kupanga na kusimamia miradi REA

📌Asema REA Digital Platform ni mfumo wa kisasa kueleza miradi 📍Chinangali Park – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, amevutiwa na mfumo wa Kupanga na Kusimamia miradi ya…

Umeme upo wa kutosha; unaangaza maisha ya wananchi- Kikwete

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwan Kikwete ameipongeza Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi kwa wananchi pamoja na kuimarika…

Mapambano kuenea kwa jangwa na ukame UNCCD, JET zataka maeneo ya malisho yatambuliwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Tanzania kupitia kwa Mwakilishi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Barani Afrika kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutokomeza Jangwa na Ukamwe (UNCCD) ambae pia ni Mwenyekiti wa chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania…

Aweso ausimamisha uongozi wa MWAUWASA 

Na Mwandishi Wetu, Mwanza  SERIKALI kupitia Waziri wa Maji Jumaa Aweso,imeusimamisha uongozi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA), baada ya uzembe uliosababisha adha ya kukosa huduma ya maji  kwa zaidi ya wiki mbili kwa wananchi wa…

Malezi ya maadili yasisitizwa Katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wazazi na walezi wametakiwa kuongeza juhudi katika kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili mema na kuwapa nafasi ya kusikilizwa, hatua ambayo imeelezwa kuwa msingi muhimu wa kuwajenga watoto wenye kujiamini, kuwajibika na kuepuka tabia hatarishi zinazoweza kuathiri…

Mradi mpya wa umeme Kongwa kuleta ahueni kwa wamiliki wa viwanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kongwa Wamiliki wa viwanda vidogo katika Wilaya ya Kongwa wameeleza matumaini makubwa ya kuondokana na changamoto ya umeme mdogo (low voltage) na mgao wa umeme kufuatia kuzinduliwa kwa mradi mpya wa miundombinu ya umeme utakaoimarisha upatikanaji…