Author: Jamhuri
TANESCO, REA, wananchi wanaolipa umeme waunganishwe kwa wakati – Salome
📌Awasha umeme Kitongoji cha Bugofuma wilayani Misungwi📌Wananchi kufungiwa mita janja kurahisisha ununuzi wa umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha…
Naibu Waziri Dk Dugange akagua kiwanda cha mbolea, dampo la Pugu
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amehimiza wananchi kuyatumia madampo kukusanyia taka ili zitumike kama malighafi pamoja na kusafisha mazingira. Ametoa wito huo wakati wa ziara ya kukagua shughuli za uchakati wa…
Iran na Marekani njia panda kuhusu makubaliano ya nyuklia
IRAN na Marekani zinatofautiana kuhusu njia na mikakati ya kuiondolea Tehran vikwazo ili Iran iachane na kile Marekani inachosema ni nia yake yakudhibiti silaha za nyuklia. Afisa mmoja wa Iran aliyezungumza na shirika la habari la Reuters amesema mazungumzo mapya…
Mbabe wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini Mexico auawa
MEXICO imethibitisha kuwa wanajeshi wamemuua mbabe wa ulanguzi wa dawa za kulevya ambaye alikuwa mmoja wa watu wanaosakwa sana nchini humo na Marekani. Nemesio Oseguera “El Mencho, alikuwa na umri wa miaka 59. Jeshi limesema Nemesio Oseguera, kiongozi mwenye umri…
Jeshi la Polisi linafuatilia kwa karibu watu wanaojiita TFF, latoa onyo
Jeshi la Polisi linapenda kujulisha kuwa, linaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi kama yalivyoainishwa na Sheria za nchi. Utekelezaji huo unakwenda sambamba na kushirikiana na wananchi katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu jambo ambalo limepelekea nchi yetu kuendelea kuwa shwari….
RUWASA na TANESCO wanatupa usingizi Simanjiro
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamewapongeza mamlaka ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) na shirika la ugavi wa nishati ya umeme (TANESCO) kwa utendaji kazi wao kwani unawapa usingizi. Hata…





