Author: Jamhuri
Polisi wafanya uchunguzi wa mtuhumiwa aliyejinyonga akiwa mahabusu Moshi
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa Karikacha, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi akiwa mahabusu katika kituo cha Polisi Moshi Kati. Kwa mujibu kwa…
Norland yashauri Watanzania kupima afya zao mara kwa mara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini ambayo yanaendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa kwa kushambulia watu wa rika mbalimbali, Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora…
Mbunge Mgalu atembelea miradi 35 Bagamoyo, achangia milioni 15
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, atembelea miradi ya maendeleo 35 akijionea hatua za utekelezaji na changamoto zilizopo, huku akichangia milioni 15 kwa ajili ya kuimarisha miradi ya nguvu za wananchi. Ziara hiyo ni…
Serikali ya Awamu ya Nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika
Na Rahma Khamis, Zanzibar NAIBU Waziri wa Vijana, Ajira na Uwezeshaji Mhe Hassan Khamis Hafidh amesema Serikali ya Awamu ya nane ipo tayari kushirikiana na vyama vya ushirika ili kuwainua kiuchumi Aliyasema hayo katika Ukumbi wa Umoja wa Washirika wa…
Yanga yatwaa Kombe la Mapinduzi Cup kwa penati 5-4 dhidi ya Azam FC
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans SC (Yanga), wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa NMB Mapinduzi Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 5–4 dhidi ya Azam FC, katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Januari 13,…





