Author: Jamhuri
Dk Nchimbi akagua ukarabati wa ofisi ya Makamu wa Rais
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi leo tarehe 29 Januari 2026, ametembelea na kukagua ukarabati wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais iliyopo Mtaa wa Luthuli, Posta Jijini Dar es Salaam. Makamu…
Waziri Dk Gwajima atambuliwa mwanamke kinara wa maendeleo jumuishi barani Afrika
Na WMJJWM – Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametambuliwa kuwa mmoja wa viongozi wanawake mashuhuri kutoka Tanzania kati Wanawake 100 Wanaoheshimiwa wa Asili ya Kiafrika waliotambuliwa kwa mwaka 2026. Tuzo…
Bilioni 151 RUWASA Mwanza kung’arisha huduma ya maji vijijini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Mwanza unaendelea na utekelezaji wa miradi 71 inayoendelea kujengwa katika wilaya mbalimbali ambapo ikikamilika inatarajiwa kupandisha wastani wa huduma ya maji vijijini mkoani humo…
Pwani ina zaidi ya ranchi ndogo 800 na kukabiliana na migogoro ya wakulima, wafugaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji MKOA wa Pwani una zaidi ya ranchi ndogo 800, mfumo unaowawezesha wafugaji kumiliki maeneo rasmi ya malisho, kutambua mifugo yao pamoja na kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji. Mpango huo ulizinduliwa Novemba 2024 mkoani…





