Author: Jamhuri
THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu
Na Mwashamba Juma (THBUB), Zanzibar Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, THBUB ofisi ya Zanzibar, imewajengea uelewa mpana wanakijiji wa Dunga Kiembeni kuhusu masuala ya uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora. Akizungumza…
Mtambo wa oksijeni waokoa maisha ya wananchi Lushoto
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuokoa maisha yake na wananchi wa Lushoto kwa kutoa…
Dk Mwigulu : Nikiondoka baadhi ya mawaziri wanabaki Tanga
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba amewaagiza baadhi ya mawaziri alioambatana nao wabakie mkoani Tanga ili kufuatilia masuala yaliyoibuliwa na wananchi na kuyatafutia ufumbuzi. Masuala hayo yalitokana na hoja zilizoibuliwa kwenye mikutano ya hadhara na wabunge wa mkoa wa Tanga na…
TRC yaanza rasmi usafirishaji mizigo kwa kutumia container carriers SGR
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza rasmi usafirishaji wa makasha kwa kutumia reli ya Standard Gauge, hatua inayolenga kupanua wigo wa biashara, kupunguza msongamano wa mizigo bandarini na kurahisisha usafirishaji wa mizigo kwenda mikoa ya kati ya nchi. Akizungumza wakati…
Tume ya Uchunguzi yakutana na Waziri wa Mambo ya Nje
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 17, 2026 imekutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo…
Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam POLISI wametia mguu katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) zilizopo Buguruni na kuweka ulinzi mkali kufuatia kundi la watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa chama hicho kuingia wakiwa na mabango na…





