Author: Jamhuri
Dalili za uwepo wa gesi asilia zaonekana katika kitalu cha Lindi – Mtwara
📍 Utafiti wa kina unaendelea katika Kitalu cha Lindi–Mtwara 📍 Dkt. Mataragio akagua maendeleo ya mradi, aagiza ukamilike kwa wakati 📍 Akagua pia mradi wa kuongeza uzalishaji wa gesi katika kitalu cha Mnazi Bay 📍 RC Mtwara asema Gesi Asilia…
Wenje :Nimegundua usichokijua ni usiku wa giza
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amesema kuwa katika kipindi chake cha siku tatu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amebaini mambo mengi kuhusu maendeleo yaliyotekelezwa na Serikali. Amesema kuwa awali alipokuwa nje ya chama hicho,…
WFP: Watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limetahadharisha kuwa takriban watu milioni 14 wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na kupunguzwa kwa ufadhili. WFP imesema watu hao wanapatikana katika mataifa ya Afghanistan, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Haiti, Somalia, Sudan…
‘Nizikwe ndani ya saa 72’: Wosia wa Raila Odinga
Mwili wa Raila Amollo Odinga unatarajiwa kuwasili saa tatu na nusu asubuhi ya leo kutoka India, ambako alikuwa anapata matibabu kabla ya kupatwa na mauti. Familia yake imefichua kwamba ndani ya wosia wake, aliandika kuwa azikwe ndani ya saa 72….
Dk Samia leo kurindima Bukoba Mjini
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo anatarajiwa kufanya mkutano mkubwa wa kampeni mjini Bukoba, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake mkoani Kagera ambayo imepata mwitikio mkubwa wa wananchi….
Uchaguzi mmeukataa, mnautamani, mkoje?
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ndugu zangu Watanzania, leo nataka kuandika mada ngumu kidogo. Niseme wazi tu kuwa nimefanya kazi hii ya uandishi kwa miaka 32 sasa. Nimeuona, nimeuandika, na nimeuishi uchaguzi. Nimeshuhudia mabadiliko mengi tangu uchaguzi wa…