JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Shinyanga atoa wito kwa jamii kuwalinda wazee

Na WMJJWM- Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ametoa wito kwa jamii hasa Vijana kuwalinda, kuwahudumia na kuwaheshimu wazee katika maeneo yao badala ya kuwaachia majukumu ya kulea wajukuu pamoja na kuwafanyia vitendo vya kikatili. Macha amesema…

Ufanisi Bandari ya Dar es Salaam waliduwaza Bunge

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imeendelea kupongezwa kila kona kwa uwekezaji mkubwa uliofanya katika bandari mbalimbali hapa nchini hususani bandari ya Dar es Salaam kwa ufanisi mkubwa. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ziara ya kikazi…

Dk Biteko awaasa CCM Bukombe kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu

📌 Azindua maduka ya kisasa 31 Ushirombo Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewaasa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika…

Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme jiji Dar es Salaam

▪️Aridhishwa na hatua ya utekelezaji wa miradi
▪️Awataka wakandarasi kuzingatia viwango na TANESCO kuongeza usimamizi ili kuepuka ongezeko la gharama
▪️Aisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha Watanzania wanapata umeme wa uhakika Na Agnes Njaala, Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati…