Author: Jamhuri
TARURA Arusha yatakiwa kuanisha maeneo yenye changamoto za barabara
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Arusha imeagizwa kuanisha maeneo yote yenye changamoto za barabara katika maandalizi ya bajeti ya mwaka 2026/27 ili kuondoa kero zinazowakabili wananchi hususan miundombinu ya barabara ili kuweza kusafirisha mazao na…
Makonda akutana na Rais wa CAF jijini Rabat
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
Watuhumiwa wa utekaji na uporaji pikipiki wanaswa
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikiria watu sita kwa tuhuma za kuteka na kuua mwendesha bodaboda Hamis Nchambi (27) msukuma, mkazi wa Kata ya Mbugani katika halmashauri ya manispaa ya Tabora. Kaimu Kamanda wa Polisi…
Trump aunganisha tishio la Greenland na kutokabidhiwa Tuzo ya Amani ya Nobel
Rais wa Marekani, Donald Trump, ameunganisha juhudi zake za kudai udhibiti wa Greenland na kushindwa kwake kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel, akisema hakuwahi tena kufikiria “kwa amani tu,” huku mgogoro wa kisiwa cha Aktiki ukionekana kuweza kusababisha vita vya…
EU yaonya kuwa ushuru wa Trump utahatarisha hali ya kiuchumi
Mataifa yenye nguvu barani Ulaya yameonya jana kuwa vitisho vya ushuru vya Rais wa Marekani Donald Trump juu ya Greenland vinahatarisha hali ya kiuchumi wakati yakijaribu kupima jibu la mzozo huo unaopanuka. Katika taarifa ya pamoja, Denmark, Finland, Ufaransa, Ujerumani,…




