Author: Jamhuri
Tanzania miongoni mwa masoko yanayokua kwa kasi zaidi kwa Bolt duniani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjadala huo ulijikita katika athari za kanuni, mahusiano ya wawekezaji na ujumuishaji wa kiuchumi katika sekta ya usafiri, huku ukibainisha mchango wa moja kwa moja wa huduma za ride-hailing katika kukuza uchumi wa…
Ridhiwani awataka maafisa tawala, rasilimali watu kuimarisha matumizi ya teknolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka Maafisa Tawala na Rasilimali Watu nchini kuzingatia taratibu za utumishi na kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali iliyowekwa…
Wasichana wa shule 11 Mafia wanufaika na taulo za kike kutoka TEEMO
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za sekondari Wilaya ya Mafia kupitia awamu ya pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana – Tabasamu…
Tusijipime ubavu na Wamarekani, tuzungumze
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Ukiona simba anakuangalia, usianze kupambana naye kwa hasira; kwanza jiulize kwa nini amesimama mbele yako.” Leo Tanzania imejikuta katika hali ambayo Seneti ya Marekani imewasilisha muswada unaopendekeza mapitio…
Serikali kushirikiana na taasisi za dini kuimarisha maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini kuimarisha maadili kwa jamii na kukuza maemdeleo. Mhe. Sangu amesema hayo…





