Author: Jamhuri
Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi
Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…
Mbeya DC yaibuka kidedea ushindi wa kikanda katika mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia,Mbeya HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC) imeibuka mshindi wa kwanza wa kikanda katika Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, zilizohitimishwa mkoani Mbeya, hatua iliyopongezwa na viongozi mbalimbali wa serikali. Makamu wa Rais wa…
Mavunde aahidi kujenga kituo cha kukuza, kuendeleza vipaji, michezo Ipala
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kujenga kituo cha kukuza vipaji na michezo katika eneo la Sokoine, Ipala ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za…
Dk Mpango ahitimisha mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025
Makamu wa Rais amesema hayo wakati akihutubia katika Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Kumbukizi ya Baba wa Taifa hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Wiki ya Vijana Kitaifa kwa Mwaka 2025 zilizofanyika Uwanja wa Sokoine Jijini…
Mramba ahimiza uzalendo na uadilifu kwa wanachama wa EWURA CCC
* Azindua Baraza la Tatu la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba, ametoa wito kwa wajumbe wa Baraza jipya la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na…