Author: Jamhuri
Wananchi wa Mabogini Moshi wanufaika na mradi wa Rise kupitia TARURA
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha Mabogini, kata ya Mabogini, wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia mradi wa RISE kwa kuanza kukarabati barabara ya Mabogini–Kahe ambayo kwa miaka mingi ilikuwa…
Bara la Afrika : Tunahitaji wanahabari mahiri kukuza sayansi, teknolojia na ubunifu
Na Veronica Mrema – Pretoria Uandishi wa habari za sayansi kwa umakini na umahiri ni nyenzo muhimu ili kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii, kusaidia kukuza maendeleo ya tafiti na vumbuzi mbalimbali. Bara la Afrika bado lina uhitaji mkubwa wa waandishi…
Injinia Mwalugaja aongoza mapinduzi ya uwekezaji Katavi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Andrew Mwalugaja, ameendelea kuwa mstari wa mbele katika kuongoza sekta ya madini kwa uwajibikaji, weledi na ubunifu. Kupitia usimamizi wake, Katavi imepiga hatua kubwa katika kuboresha mazingira…
TCU yasitisha udahili wa shahada ya udaktari MzU 2025/26
Na Baltazar Mashaka, Mwanza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesitisha rasmi kibali cha udahili na usajili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa Shahada ya Udaktari wa Binadamu katika Chuo Kikuu cha Mwanza (MzU) kwa mwaka wa masomo 2025/2026,…
Katambi: EACLC leteni wafanyabiashara wenye teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi , amekiasa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kufanya kazi na Wafanyabiashara Wageni wanaoleta teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini ili kuhakikisha vijana…





