Author: Jamhuri
La elimu, Rais Samia anaunganisha Watanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kigoma Kampeni zinaelekea ukingoni. Tumeshuhudia mikikimikiki ya vyama vinavyoshiriki. Tumeshuhudia mikutano ya hadhara. Idadi ya watu wanaoshiriki kwenye mikutano inatosha kukwambia kuwa Watanzania wana matumaini na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan….
Kambi ya maalum ya matibabu ya moyo yawafanyia upasuaji watoto tisa Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watoto tisa wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio kwenye kambi maalumu ya matibabu ya siku mbili iliyomalizika hivi karibuni katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)…
Mgeja: Elimu ya amani, uzalendo na mazingira ifundishwe shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kahama MWENYEKITI wa Tanzania Mzalendo Foundation Bw. Khamis Mgeja ameishauri na kuiomba wizara ya elimu nchini ifikilie kuona umuhimu namna gani ya kuweza kuanzisha masomo ya aman, Uzalendo na mazingira mashuleni kuanzia madarasa ya awali mpaka…
Viongozi wa dini wahimiza Watanzania kupiga kura, amani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza VIONGOZI wa dini mbalimbali mkoani Mwanza, wametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, uliopangwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Kadhalika katika kongamano la Amani la…
Wadau wakutana kujadili nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WADAU kutoka serikalini, mashirika ya kiraia na wakulima wamekutana mkoani Morogoro kujadiliana kuhusu nafasi ya mbegu za wakulima kwenye Itifaki ya Eneo Huru la Biashara Africa (AfCFTA). Akifungua mkutano huo Mratibu wa Mtandao wa Baionuai…