JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serukamba: Kigoma tumchague Samia

Na Mwandishi Jamhuri Media, Kigoma Mgombea bunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Peter Serukamba, ametoa wito kwa wananchi wa Kigoma kumchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Amesema hatua hiyo inatokana na kumpa kura Rais Samia kupeleka maendeleo…

Baba Levo aunguruma kampeni za Samia, asema mfupa mgumu kwake ni kama biskuti

Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media- Kigoma Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando maarufu Baba Levo (CCM), ameunguruma mbele ya mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Akitunia.zaidi ya dakika 11 jukwaani, ameshusha mambo mazito kuhusu Jimbo…

Waziri Katimba aeleza mafanikio ya Rais Samia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Mgombea ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tabora na Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Zainabu Katimba, amewaomba wananchi wa Kigoma kumpa kura Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na…

Tanzania, Algeria kushirikiana katika upatikanaji dawa salama

Tanzania na Algeria zimekubaliana kushirikiana katika kuboresha uhusiano kwenye upatikanaji na uzalishaji wa dawa zenye usalama, ubora na ufanisi katika nchi hizo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Dawa nchini Algeria alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Wizara ya Afya…

Waandishi waandamizi wajifunza mapinduzi ya teknolojia China

Na Mwandishi Wetu, Beijing, China Waandishi wa habari waandamizi kutoka Tanzania, Zimbambwe, Sudani Kusini, Ivory Coast and Uturuki wameshiriki mafunzo kwa vitendo nchini China hivi karibuni.Mafunzo hayo yalihusu maendeleo ya teknolojia na mapinduzi yake ili kuleta matokeo chanya kwenye sekta…

Mpango asema Samia ameitendea haki Ilani ya CCM

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Buhigwe Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ameitendea haki Ilani ya uchaguzi ya chama hicho. Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo Septemba 13 wilayani…