Author: Jamhuri
Rais wa kupambana na rushwa Comoro awasili Tanzania kwa ziara
Rais wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa nchini Comoro (Chambre anti-corruption) Bi Fahamoue Youssouf akiambatana na maafisa wake amewasili Dar es salaam kwa ziara ya kikazi kwa mwaliko wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini…
DED Shemwelekwa : Awasihi wafanyabiashara Loliondo kuilinda amani ili kukuza biashara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MMKURUGENZI wa Manispaa ya Mji Kibaha, Mkoani Pwani Dkt. Rogers Shemwelekwa, amewasihi wafanyabiashara wa Soko la Mnarani Loliondo kuendeleza biashara zao kwa amani, utulivu na mshikamano, akisema ndio msingi wa mafanikio na maendeleo yao. Akizungumza…
Tanzania yasisitiza amani na usalama mkutano wa ICGLR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi…
Mwigulu aanza kazi rasmi , akomesha vikwazo vya huduma kwa wajawazito
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya rufani ya Mkoa wa Dodoma na kupiga marufuku tabia ya kuwasubirisha wajawazito mapokezi wakiwa na uchungu wa kujifungua. Ziara…
Miradi ya madini imeleta maendeleo Mara
🔸Zaidi ya Shilingi Bilioni 33.81 zatekeleza miradi ya maendeleo ya jamii MKOA wa Mara umeendelea kunufaika na uwekezaji wa Sekta ya Madini baada ya kutekeleza zaidi ya miradi 398 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 33.81 katika wilaya zote…





