JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Pinda- Watanzania waithamini elimu huria masafa ya kimtandao na masafa ni bora

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimeongeza idadi ya wahitimu wa fani mbalimbali kupitia mfumo wa elimu ya mtandao na masafa, kutoka 62,217 kwa mwaka 2023/2024 hadi 67,359 mwaka 2025. Ongezeko hilo limetokana na kuhitimu…

Vijana Kyela fanyeni kazi smsaa 24 – Waziri Nanauka

Na: OR – MV, Kyela Vijana wa Wilaya ya Kyela wameshukuru Serikali kwa uamuzi wake wa kuondoa zuio la wananchi kuacha kufanya kazi ifikapo saa 6 usiku kufuatia matukio ya baada ya uchaguzi mkuu ambapo kuanzia leo wananchi wanaruhusiwa kufanya…

Diplomasia ya Tanzania yang’ara UNIDO

Tanzania imechaguliwa kwa kura zote za ndiyo na nchi wanachama wa UNIDO kuwa Mjumbe wa Bodi ya Maendeleo ya Viwanda ya UNIDO kwa kipindi cha mwaka 2025-2029 na Mjumbe wa Kamati ya Programu na Bajeti ya UNIDO kwa kipindi cha…

Serikali yaagiza DTC kuandaa mpango kazi wenye ushindani wa kimataifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema kuwa uanzishwaji wa Chuo cha Ufundi Dodoma (DTC) ni hatua madhubuti katika kujenga taifa lenye nguvu kazi bunifu, mahiri na yenye ushindani wa kimataifa, sambamba na utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014,…

Mama Kanumba ashauri iundwe Wizara ya Wanaume kunusuru ukatili dhidi yao

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dar es Salaam Balozi wa shirika la wanaume wanaopitia changamoto dhidi ya unyanyasaji katika ndoa nchini SHIWACHANDO, BI Frolence Mtagoa maarufu mama Kanumba ameiomba Serikali kuunda Wizara ya Wanaume ili kuwanusuru na changamoto mbalimbali za unyanyasaji…

Dkt. Homera afurahishwa RITA kuwajengea uwezo wadhamini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Katiba na Sheria Dk Juma Honlmera amefurahishwa na mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za Wadhamini kutoka taasisi mbalimbali ili kuepusha…