Author: Jamhuri
Polisi Pwani wakamata watuhumiwa 206 wa dawa za kulevya, magendo
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watuhumiwa 206 kwa makosa mbalimbali ya jinai katika operesheni na misako iliyofanyika kati ya Juni na Julai mwaka huu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase, akizungumza na…
Naibu Waziri Nishati ahamasisha umma kupata taarifa sahihi sekta ndogo ya umeme
………………. Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza umma kupata taarifa sahihi kuhusu hali ya sekta ndogo ya umeme nchini, huku akitoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuendelea kutoa elimu…
Wabunge washauri miradi ya kaboni iendelee kunufaisha wananchi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeshauri kuwa miradi ya biashara ya kaboni iendelee kuwanufaisha wananchi hususani mwananchi mmoja mmoja katika maeneo yanayotekeleza miradi hiyo. Kamati hiyo imebainisha kuwa ni vyema maeneo yanayotekeleza miradi ya Biashara ya…
Rais Dk Samia atembelea chanzo cha Maji Machomwe, aweka jiwe la msingi Skuli ya Amali Kizimkazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Amali Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi,…
STANBIC yawa benki ya kwanza Tanzania kuzindua malipo ya moja kwa moja kwa Yuan ya China
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya Stanbic Tanzania imekuwa benki ya kwanza nchini kuzindua huduma ya Malipo ya Moja kwa Moja kwa Yuan ya China, inayowawezesha wafanyabiashara wa Tanzania wanaofanya biashara na China kulipa na kupokea malipo…
TASWA kuzindua kampeni ya ‘AFCON Kitaa 2027’ kuelekea fainali za Afrika
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa 2027’, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi Oktoba 30, 2026 jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo imelenga kuhamasisha wanataaluma ya habari pamoja na wananchi wote…





