Author: Jamhuri
Masauni aagiza usimamizi imara wa mazingira kwenye viwanda Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni (Mb), amewaagiza viongozi wa Mkoa wa Pwani, wilaya, halmashauri na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuongeza usimamizi wa masuala ya mazingira kwenye…
Uhispania yashinda Kombe la Dunia 2026
Uhispania imeshinda Kombe la Dunia 2026 kwa kuwabamiza mabingwa watetezi timu ya soka ya Argentina bao 1-0. Mshambuliaji Ferran Torres ndiye ameifungia Uhispania bao la pekee lililowapa ushindi na kunyakua Kombe la Dunia kwa mara ya pili katika historia. Mchezo…
Songea inavyopambana na taka; safari ya kujenga mji safi, salama na wa kisasa
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma UBORA wa mji hupimwa kwa majengo yake yaliopangwa vizuri, barabara zake au idadi ya watu wake. Lakini mji wa Songea unaonekana kupimwa kwa jambo jingine lisilopewa uzito na wengi jinsi inavyoshughulikia taka zake. Kila chupa…





