Author: Jamhuri
Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…
Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano
Kauli ya Rais Volodymyr Zelensky kwamba Rais Vladimir Putin hana nia ya kushiriki katika mazungumzo ya kusitisha mapigano amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Ukraine mwaka 2022. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema haoni dalili yoyote…
NMB kuchochea maendelea sekta ya utalii Arusha
Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara wakubwa mkoani Arusha ushirikiano wa karibu zaidi katika kukuza shughuli zao, hususan sekta ya utalii, ili kuongeza ufanisi wa kibiashara, mapato na mchango wa taifa katika uchumi wa dunia. Akizungumza kwenye hafla ya chakula cha…
Mbeto atabiri anguko la Othman Uchaguzi wa Urais Z’bar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kumemtaja Mgombea Urais wa ACT Wazalendo , Othman Masoud Othman, atashindwa vibaya katika kinyang’anyiro cha Urais kutokana na uwezo wake kuwa mdogo mbele ya mgombea CCM Rais Dk Hussein Ali Mwinyi . Pia…
Mzee Butiku ateta na Dk Nchimbi kwenye mkutano wa hadhara Rorya
Mgombea mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk.Emmanuel Nchimbi amekutana na kusaliamiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere Joseph Butiku wakati wa mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu . Dk.Nchimbi ambaye…