JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uboreshaji reli ya TAZARA, historia ya awamu ya sita na mpango mkakati

Imeandaliwa na Mhandisi Abbas Maunda UTANGULIZI Reli ya Tanzania–Zambia (TAZARA) ni moja ya miradi mikubwa ya kimkakati barani Afrika, iliyojengwa kwa lengo la kuunganisha Bandari ya Dar es Salaam na Zambia, nchi isiyo na bandari. Reli hii ina urefu wa…

TMA yatoa utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo.

Na Heri Shaaban Kwa Mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania, imeeleza kuwa vipindi vifupi vya mvua kubwa inatazamiwa katika mikoa ya Arusha,Kilimanjaro,Manyara ,Mara,Simiyu , Mwanza ,Mtwara, Lindi na mikoa ya Kusini mwa Pwani ikijumuisha Visiwa vya…

Serikali SMZ yabadili jina la mashindano ya Mapinduzi Cup, sasa kujulikana NMB Mapinduzi Cup 2026

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la michuano na sasa kuitwa NMB Mapinduzi Cup 2026. NMB Mapinduzi Cup 2026 inashirikisha timu…

Msigwa : Mkataba wa TAZARA na China utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania

Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania kuwa mkataba ambao Tanzania na Zambia zimeingia na China wa uboreshaji wa reli ya TAZARA utakuwa na manufaa makubwa kwa Tanzania kiuchumi na kijamii. Msigwa aliyekuwa akitoa ufafanuzi…

Dc Mpogolo atoa agizo kukamatwa waliofanya mauaji Buyuni

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ,ametoa agizo kwa Jeshi la Polisi kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, ACP Yustino Mgonja kutumia utaalamu na timu yake kuwakamata mara moja kundi…