JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa

Na Mwandishi wa OMH Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Desemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi,…

Tanzania lures Indian investor in city natural Gas distribution

HCG Gas Ltd, an investment company based in India, has shown interest to invest in Tanzania’s City Gas Distribution and CNG project.The company’s representative, Ms. Rekha Sharma, visited the country and on Thursday this week held a meeting with Tanzania…

Salome Makamba aipongeza PBPA kwa utendaji mzuri

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb) ameipongeza Wakala ya Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kwa utendaji kazi mzuri katika kuhakikisha nchi inakuwa na akiba ya mafuta ya kutosha. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza…

JKCL yaweka tena historia, yaanza kutoa matibabu kupunguza msisimiko shinikizo la damu katika figo

Na: Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) yawekea historia Tanzania, Afrika Mashariki na Kati kwa kutoa matibabu mapya ya tiba ya kupunguza msisimko wa shinikizo la damu katika mishipa ya…

Wazazi, walezi na walimu nchini wametakiwa kukekemea vitendo bua ukatili kwa watoto nchini

Wazazi, walezi na walimu nchiini wametakiwa kukemea vitendo vya ukatili kwa watoto kwa kuwatunza na kuwalinda watoto kwa kuwapatia chakula, malezi bora, Muda wa kuzungumza nao na kuwaelekeza ikiwa ni pamoja na kusimamia matumizi ya simu, mitandao ya kijamii na…

Chalamila : Upotoshaji taarifa unaweza kuligharimu Taifa hasa nyakati zenye taharuki

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wahariri na waandishi wa habari kufanya kazi yao bila upotoshaji wa taarifa hususani kwenye masuala yanayoweza kuleta taharuki kwenye jamii na kusisitiza kuwa Serikali Mkoani humo haikubaliani na matukio…