JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Gari la shule laua wanafunzi 8, Rais Samia atoa pole

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mtwara RAIS Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na taarifa ja ajali iliyosababisha watu 10 kupoteza maisha baada ya gari la shule kutumbukia shimoni. Ajali hiyo imetokea leo baada ya gari lenye namba za usajili T 207 CTS Mali…

Balozi Asha-Rose Migiro atembelea kambi ya timu ya Tanzania

BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dkt. Asha-Rose Migiro ametembelea kambi ya wanamichezo wa Tanzania wataoshiriki kwenye Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola iliyopangwa kuanza Julai 28, 2022, na kuwatakia kila la heri kwenye michuano hiyo inayoshirikisha jumla ya nchi…

Kinana, Shaka watua Katavi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Katavi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi itakayokwenda sambambamba na kupokea taarifa na kukagua miradi ya maendeleo. Katika ziara hiyo ya…