JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Usiyapoteze machozi yako

Na Padri Dk. Faustin Kamugisha Ukimpiga mbwa viboko vitano na binadamu viboko vitano, binadamu anaumia sana kuzidi mbwa kwa sababu binadamu analeta mateso aliyoyapata wakati huu, na aliyoyapata zamani na atakayoyapata; anaumia sana. Anatoa machozi.  Msemo wa kuwa ‘wafalme hawalii’…

Ukifika Kojani, utatokwa machozi

PEMBA Na Yusuph Katimba Nenda uendako, lakini ukifika katika Kisiwa cha Kojani, kilichopo Mkoa wa Kaskazini Pemba, utastaajabu maisha yao, kama si kuugumia maumivu, basi unaweza kumwaga machozi. Ukiwa kwa mbali, fikra za haraka unaweza kudhani Kojani ni kisiwa kilichohamwa,…

Vita ya Ukraine ni neema kwa kampuni za mafuta

Na Nizar K Visram Baada ya Urusi kuishambulia Ukraine, Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) wakatangaza vikwazo dhidi ya Urusi, lengo likiwa ni kuibana isiweze kuuza bidhaa zake kama mafuta na gesi katika soko la Ulaya na kwingineko. Urusi ni…

Hongera Rais Samia Suluhu Hassan

Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza mwaka mmoja tangu alipoapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kifo cha Dk. John Magufuli. Taifa, kama familia, linapoondokewa na kiongozi mkubwa kwa kawaida huibuka shaka na sintofahamu miongoni mwa wananchi….

Watu wasilazimishwe kulala mapema

Nianze kwa kumpongeza kiongozi wetu Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kutimiza mwaka mmoja madarakani. Mwaka mmoja ni muda mfupi, lakini kiongozi wetu amethibitisha nia yake njema ya kuwa na Tanzania yenye…

Cannavaro alituachia Yondani,  Yondani ametuachia nani?

Dar es Salaam NA MWANDISHI WETU  Wiki iliyopita kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen, ametangaza kikosi chake ambacho kilitarajiwa kukusanyika na kuingia kambini Jumapili ya juzi kwa ajili ya kujiandaa na michezo yake mbalimbali. Ukikisikia…