JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Soka letu linamhitaji Haji Manara

Huenda Kassim Dewji ni miongoni mwa viongozi wachache wa Simba wakiwa sehemu ya watendaji wa ‘Simba mbili’ zilizofanya maajabu kuliko Simba ya Manara. Jumamosi ya Novemba 26, 1993 wakati Desre Koume na Jean Ball ‘Boli Zozo’ wanainyima Simba ubingwa wa…

Wageni wanakuja, wanaondoka, makocha wa kwetu wapo tu

Achana na majina ya Sven van der Broeck wa Simba na Luc Eymael wa Yanga, tubaki na majina ya makocha wa hapahapa Afrika ili tuzungumze kitu kinachoeleweka. Hawa utawauliza tu nini kifanyike. Maana ukizungumzia kocha kutoka Malawi, Zambia, Kenya, Uganda,…

Simbachawene awasulubu NIDA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ‘amewatoa jasho’ viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) katika mkutano uliofanyika jijini Dodoma, Ijumaa iliyopita, JAMHURI limefahamishwa. Waziri Simbachawene ametaka maelezo ya kina kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA,…

Watumishi Tamisemi wapigwa mafuruku kusafiri

Kilichowakuta watumishi wa umma waliokuwa na mtindo wa kusafiri nje ya nchi mara kwa mara sasa kimewakumba pia watumishi wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – Tamisemi. Ruhusa ya watumishi wa Tamisemi kusafiri kwa ajili…

Mvua zaharibu barabara Ilala, Kinondoni

Mvua zilizonyesha kwa wiki kadhaa zimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Mkoa wa Dar es Salaam hasa katika wilaya za Kinondoni na Ilala. Ziara zilizofanywa na gazeti hili katika maeneo kadhaa katika Mkoa wa Dar es…

Serikali imo gizani katazo la Marekani

Takribani wiki mbili baada ya Marekani kuiingiza Tanzania katika orodha ya nchi ambazo wahamiaji wake hawaruhusiwi kuingia nchini humo, Serikali imesema bado haijapata taarifa rasmi kuhusiana na suala hilo. Aidha, Serikali imesema pia haijapata taarifa zozote kuhusiana na katazo la…